Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,861
- 828
Kwa laki tatu nunua techno H7 ambayo bei yake inacheza eneo hilo ina kila kitu kinachohitajika kwenye simu.
Yaani unamshauri mtu anunue tecno kwa laki3!,tecno hata bure sichukui mimi
Kwa laki tatu nunua techno H7 ambayo bei yake inacheza eneo hilo ina kila kitu kinachohitajika kwenye simu.
Guys naomba ushauri wa simu gan kali ya kununua bajet yangu ni laki 2 mpaka 2 na nusu...natanguliza shukurani
Yaani unamshauri mtu anunue tecno kwa laki3!,tecno hata bure sichukui mimi
Tafuta tecno phantom z halafu ulinganishe na simu yako???
galaxy s2 ndo Simu nzuri kwa pesa hyo..achana na mediatek hzo tecno ,Narudia usinunue MTK yoyote akiongozwa na Tecno.
tecno ni simu za baa medi na wanafunzi wa sekondari,walinzi,mgambo na makondakta
Tafuta tecno phantom z halafu ulinganishe na simu yako???
Nimetengua mkuu kwa heshima yako,uwe na amani mkuu.Sio kauli nzuri. Hao nao ni watu na wanahitaji heshima na hadhi stajiki ltk jamii. Tengua kauli!!!