mnyepe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2008
- 1,907
- 660
tecno ni simu za baa medi na wanafunzi wa sekondari,walinzi,mgambo na makondakta
Tafuta tecno phantom z halafu ulinganishe na simu yako???
tecno ni simu za baa medi na wanafunzi wa sekondari,walinzi,mgambo na makondakta
Sawa wale ndugu zako wanaotumia ni mabaamedi????? Acha zarau Mkuu.
mkuu unaijua galaxy s2?Usinunue used. Pesa nzuri hiyo tafuta simu za Huawei au Tecno ni nzuri kwa matumizi ya kawaida. Mpya unapata. Usitake makubwa kukiwa na hela fupi, utauziwa vimeo. Hakuna anaeuza simu ili anunue nyingine most of us tunauza kwasababu vimeo tumexhoka.
Thanx mkuu vp specs zake nione kama ntaipenda?
Yuawei
guys bado cjapata suggestion ya phone nzuri! Npo tayari kuongeza ela ila isizidi lak 3....
Nacheka sana kuona siku hizi wabongo tuna nyodo, eti Nokia tochi ni bora kuliko tecno p5 hahahaha, ni ulimbukeni kwao mkuu..
Kati ya S2 au S3 nadhani unaweza kupata mpya dukani, unaianzisha mwenyewe
Au Huawei zipo nzuri sana kwa bajeti yako
Usinunue Tecno kwa bajeti hiyo wala usinunue simu yoyote used
Kaka kama tecno H7 ulipigwa hiyo bei pole sana aisee mwanza zina 270,000.Kwa laki tatu nunua techno H7 ambayo bei yake inacheza eneo hilo ina kila kitu kinachohitajika kwenye simu.
Huyo anaonekana kwenye huu ilimwengu bado sasa kwa hizo simu ulizo mtajia ataenda apigwe copy( clone) zake atulie bora umshauri vzr. Kumwambia tu s2 au s3 haitoshi.Kati ya S2 au S3 nadhani unaweza kupata mpya dukani, unaianzisha mwenyewe
Au Huawei zipo nzuri sana kwa bajeti yako
Usinunue Tecno kwa bajeti hiyo wala usinunue simu yoyote used
Me nmezoea sana nokia nlianza na E71, E72 saiv E90 but naona ipo too old fashioned! Mambo touch screen...nikilitoa kupokea namba kwa watoto wazuri likionekana tu napewa contact fakeHuyo anaonekana kwenye huu ilimwengu bado sasa kwa hizo simu ulizo mtajia ataenda apigwe copy( clone) zake atulie bora umshauri vzr. Kumwambia tu s2 au s3 haitoshi.
Una utani wewe....Me nmezoea sana nokia nlianza na E71, E72 saiv E90 but naona ipo too old fashioned! Mambo touch screen...nikilitoa kupokea namba kwa watoto wazuri likionekana tu napewa contact fake
Huyo anaonekana kwenye huu ilimwengu bado sasa kwa hizo simu ulizo mtajia ataenda apigwe copy( clone) zake atulie bora umshauri vzr. Kumwambia tu s2 au s3 haitoshi.
tecno ni simu za baa medi na wanafunzi wa sekondari,walinzi,mgambo na makondakta