Mie ndio nimeingia mmeniita wapi mjue nimeruka pageSi nilikuita kulee... Geni nae kakuitaa
Ukinigawa nita enjoy vipi hizi raha. Usinigawe, nishikilieni hivo hivo hata kama naruka ruka




Wapi huko???Si nilikuita kulee... Geni nae kakuitaa
Hata wewe haujaielewa jamanijamanii naomba mtoe pin code hizoo
Post sent using JamiiForums mobile app
Umeanza lini dharau Bonny... Naomba muende pmseguir esperando
HeheheeShoga najaribu tyuuuu. Ha ha ha ha
yaani umbea mpaka unaogopa
Bora tusutwe halafu code umeielewa.![]()
Haya sasa hivi kwa kuwa umeshamjua hamna mifano tenaKila nikisoma hiyo mifano natetemekaaa
HahahaHapana maji hayatakata ujue
Nini dar angel niambieAsante. Mwambie huyo maana msuto utamgeukia soon kwa nini hatuelewi sisi jamani tumeshasema hamna kitu haelewi
Sawa bwana acha twende pmUmeanza lini dharau Bonny... Naomba muende pm
Ewaaaaaaa mmefanya la maana sanaSawa bwana acha twende pm
Ungenipigia jamaanJamaniiii....
Nimekuita mudaaaa