Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Sijuagi anafanya nini mjini. Sijawahi kumfatiliza kabisa. Since mmenipa taarifa jana ndio nimeanza kumtazama kwa jicho la 3.



nimekushindwa ujue
Sijuagi anafanya nini mjini. Sijawahi kumfatiliza kabisa. Since mmenipa taarifa jana ndio nimeanza kumtazama kwa jicho la 3.



nimekushindwa ujueMimi Nina raha maana hamna anayenijua. Ukija chamba fake I'd kivyako.
Mimi walaaaaaaaaaaaa







Maseratihuwezi jua lakini, kwahyo dyadya mtulivu lakini, una wasiwasi na me??
Na kweli maana naona maluweluwe tuu my ssWe mbembeleze tu P bwana.
Shunie Shunie ShunieKho kho kho kho nina kiu naombeni kinywaji
Na mie auntie yangu mpe msonyo wangu
Inauma uchambwe halafu code yenyewe huijuiBora tusutwe halafu code umeielewa.![]()



hauielewiOooh gracias amor lo que está teniendo para el almuerzo? Todavía estoy en la oficinaEs gracioso hahahaaaaaa por cierto estoy a punto de almorzar ..... su bienvenida
Ebu tutafsilie basiHa ha ha ha
WoyoooooWa abroad ndio walichambanaga hapa livelive kumbe walikua wamepangwa foleni
Binti mmoja alikua anamume kumbe kamkana mumewe kajiweka kwa jamaa
mambo yote yakawa hadharani
Akwendwee hukooNdio nini hivi tena jamaan
Tatizo enzi ile zilibamba nyingii
Ya abroad
Ya dada mweupemweupe
Ya uchagani kule
Kuna waliotangaza ndoa
Wengine wakaja kuchambana hapa pakawa hapatoshi
naomba tukutane pm...Najuta ujue hivi kwa nini haujanipigia lakini nitamalizaje hizi pages






Naomba savanna ya baridi sana nina kiu ndio naingia ujueShunie Shunie Shunie
Mbona mie nimeilewaInauma uchambwe halafu code yenyewe huijuihauielewi
Hahahah agiza kwa mangi nalipia.Kho kho kho kho nina kiu naombeni kinywaji
seguir esperandoEbu tutafsilie basi