Hivi JF kuna Member wazuri Kumbe ? Sikujua Ila Leo nitakuja na Thread ya Kuelezea jinsi Mahusiano ya Humu yalivyowaongezea msongo wa Mawazo kuliko ambavyo wamewahi kutendwa huko Nje. Wengi wao ni wanawake wenye pesa zao , wenye kazi zao, wenye biashara zao, wameacha mahusiano yao ya Kweli na wengine hata Ndoa zao kwa kukimbilia Mahusiano wa Humu kwa kuangalia kupitia comment zao Mwisho wa siku wengi wao Wanaugulia na Magonjwa yasiyokuja Kupona, Sitawataja ila nitaelezea in General.
My Take. Enyi Wadada wanaume wa Humu ni Sawa na Huyo Mwanaume wako unayemuacha hapo Nyumbani na kuja kujifariji huku. Take Care your Man humu hutapata relief unayoiona kwenye art za Miandiko ya wanaume humu ndani, They are different.
Nitarudi na Thread special ya Kuwambaia Ukweli juu ya Hill , Stay Tune.
Akili Unazo aka Msema Ukweli aka Prophetic wa JF