Ongea taratibu basiiiHawa noma zaidi...kuna Waliokimbia Ndoa zao wakidhani humu wamepata Suluhisho Kumbe ni shida.
Nini kimekupata tena Swtbird wangu rubii ?Ohooo wanaume wa humu washenzi sana...
Antie
Aleppo wewe ni me au ke???Sipendagi dharau mimi, na sipendagi mtu ajione akiwa mbele yangu namvua nguo zote mxiuuuuu zako
Na wewe unapata faida gani ukijiona mzuri wewe jf nzima? Kwa hiyo hapa natafuta kiki siyo ehh? nimekudharau na mate nimekutemea ptyuuuuuuuuu mxiuuu zako kajifunze kuishi na watu kama kuishi na watu ni kiki basi ume donti wewe bibiee maana una mdomo mchafu kapige mswaki mimi ntakupa peroxide(maana huitumii) ili ikutolee shombo mdomoni kwako sio kwa kufumigate huo uozo wako
ata bibi alikuwa anaitwa beib
Hivi unashindwaga??
Mbona papo free
Za saiziYangu na yako tu ndio zilikuwa na uhalisia, na nina mpango wa kuja kuomba msamaha, nimekumiss
Ha ha ha ha ha haGajagfgaiajbab kqhfadj.
Kaburi limefukuliwa...
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Aaaah. Nyinyi wanawake sio wa nchi hiiSasa huyu huyo.
Sikuhizi namsoma nacheka tuu
Hahahaaaaaa Puedo ver dragones empezar a escupir fuego .........Seguro que está sola ... muy mal
Wasitupigie makelele sasa hata nyuzi za misiba wao ai lavu yu kibao
Yaani balaaHahahah watu wabaya kishenzi
Hebu niambie hapo kidoooogowe dada hebu kunywa maji kwanza shusha pumzi
Ghkaaaa!!!!!
Kwahiyo ile ya 2015 na yenyewe nilikuwa kama hivi hivi
Cc dark angel
Shogaana kesho
Hahahahah aiseemakubwa ya binti jongo, uwanja wako we kuwa huru huitaji kunipa ratiba yako, next tusiii please haha
Ha ha ha .
Salama my kaka, how are you?Za saizi