Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,163
- 184,883
Nani wa kumchukua huyo kibonge na ampeleke wapi
Vibaya hivyo, kama unamjua alivyo unakausha tu...
Nani wa kumchukua huyo kibonge na ampeleke wapi
Mwenzako amempata bwana mpya.anaitwa smart.na wameshatiana tayari.Kati ya watu ambao huwa siwaelewi kwa mabandiko yao humu mmojawapo ni ww...!
nimependa hiyo dedication....naomba unipee maujuzi ya kuandika jina kweny picha kama ulivyoo fanya! Asantee
Picha ina marangi rangi ila kama ndio jeddah na huyo smart911 ni dugu moya hewallahNdivyo alivyokwambia?
Thanks.nimependa hiyo dedication....naomba unipee maujuzi ya kuandika jina kweny picha kama ulivyoo fanya! Asantee
asanteThanks.
-huo mwandiko (for kasie) nimeandika mimi kwa mkono wangu. hiyo picha ya chrismass tree nimedownload google.
Gallery - image(Chrismass tree) - setting - edit picture - draw picture.
baada ya hapo utaandika kwa mkono
Ndio ndugu James pana waqt hapa huyu bibie ulikuwa haukauki vidoleni pake sasa tumeona khabari zimehamia kwa smart911 ndio nikamuuliza ndugu yetu James khabari zake ndio zimeishia hapo au James na smart911 ni dugu moya? ndio kisa cha kuliandika jina hilo ndugu.My name is James....James Jeddah.
I heard you were talking about me.
Kasinde, have reached home safe from where we left each other?
Sawa Dear.. vipi kichwa lakini?Darling, thanks I have safely reach home, just stay up cause if you hear three hones it's Kasie si wajua usingizi wa kubembelezwa raha yake ilivo. ....
Love you most Smart.... muah! !
Yaani bado kinauma uso wote umevutika hata kutabasamu kwa tabu, jinsi ya kulala sasa ndo taabu. Waalaah muda si mrefu utaniona hapo kwako.
Thanks for caring baby boo love you ....
Yaani bado kinauma uso wote umevutika hata kutabasamu kwa tabu, jinsi ya kulala sasa ndo taabu. Waalaah muda si mrefu utaniona hapo kwako.
Thanks for caring baby boo love you ....
Kwako Kasinde:
Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni Kasinde...
Mioyo yetu tusibadili wangu kipenzi Kasinde tuepuke ushauri Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpenzi Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpanezi Kasinde...
MV Mapenzi Meli ya wapendanao
Moyo kama Bahari Manahodha mimi na Wewe
Duniani kuna mengi sawasawa na Bahari
Kuna Papa na Nyangumi tena wale wa hatari.....
Hawapendi kuiona Meli yetu baharini
Watafanya kila njia waifupishe Safari...
Ukipata muda leo, njoo Mahaba Beach, Ununio... Evening for Dinner...