Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nimemuona ujue.... Mwambie atulie hivyo hivyo
Nimemuona ujue.... Mwambie atulie hivyo hivyo
Nipo mimi dadaNakuonaa nakuonaaa
Daah ila jf naiheshimu sana jamaan ujue najifunza kituLazima aumie.
Lakini hii si ni ex jamani???
Anapotezea au neneeeWe sakayo unanikata pumzi sasa...
Tulia tusubirie wifi yangu aseme chochoteNipo mimi dada
Tulia mamaDaah ila jf naiheshimu sana jamaan ujue najifunza kitu
Wifi yako yupi tena jamaanTulia tusubirie wifi yangu aseme chochote
Sure. Kuanika anikana huku mmmmh. May be iwe utani utani tuDaah ila jf naiheshimu sana jamaan ujue najifunza kitu
Nishatulia mie dadaTulia mama
Hujafika tu kwa uzi wa kigoma??? Mwisho wa reli??Anapotezea au neneee
Huyu dogo smart ujue nilikuwa simuelewi.
Kwa kauli yake ya kila siku ya inasikitisha
Cc mahondaw.
Aisee wewe kichwa ndio umenifungua ubongo
Jirani nilikumbuka kuna uzi mmoja wa antonio guzmann aliletaga bandiko la kama ulishawahi kufanya mapenzi sehemu hatarishi (sina uhakika kama uzi ndo ulikuwa na bandiko hilo)
sasa smart kaja na swagga zake INASIKITISHA SANA... CC MAHONDAW[\color]
mimi nikajiuliza huyu jamaa wa pekee si angepita kimya kimya ndo nikaelewa kuwa kama angesema alishawahi baka(nakisia tu), siku hiyo angelala nje kama dokta slaa
NakujaaaaHujafika tu kue uzi wa kigoma??? Mwisho wa reli??
Yes labda iwe utani acha watu wakulane kimya tu hata mkiachana mnajua wenyewe tu maisha yanaendelea asante jf kila siku unazidi kunifundisha vitu vipyaSure. Kuanika anikana huku mmmmh. May be iwe utani utani tu
Nimekupenda bure Aleppo
agata, jasiri haachi asili. Hii ndio nature yetu, hatuwezi kuiacha katu asilani.Daaah watanzania kweli tuna roho mbaya yani comment zinathibitisha.