Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Saint Ivuga

sio kwamba nilikuwa nawafuatilia ila karibia kila nyuzi nazoingia nawaona halafu hawana jipya ata iwe siasa, hoja mchanganyiko, celebrit ni INASIKITISHA SANA, MAHONDAW WANGU USISIKILIZE YA DUNIA, MY KING NACHEKA KWA DHARAU...

Ilikuwa inanikera sana yaani sasa leo siwapumzikii nawachaana mpaka mchanike haswaaa tena siondoki ng'ooo mpaka mbadilishe tabia. Msipobadili basi tena na navyopenda umbeya aisehhhh jiandaeni kupata kiharusi
 
Saint Ivuga

sio kwamba nilikuwa nawafuatilia ila karibia kila nyuzi nazoingia nawaona halafu hawana jipya ata iwe siasa, hoja mchanganyiko, celebrit ni INASIKITISHA SANA, MAHONDAW WANGU USISIKILIZE YA DUNIA, MY KING NACHEKA KWA DHARAU...

Ilikuwa inanikera sana yaani sasa leo siwapumzikii nawachaana mpaka mchanike haswaaa tena siondoki ng'ooo mpaka mbadilishe tabia. Msipobadili basi tena na navyopenda umbeya aisehhhh jiandaeni kupata kiharusi
acha nikalale yaan wewe hapana aisee
 
Habari za jioni mabibi na mabwana wa MMU,
Kasie huyuhuyu mnayemjua na kumuona humu JF propozo imemdondokea na ameafiki kusheherekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya akiwa na Smart911 na hii ndo muendelezo kwa kipindi chote cha mwaka 2017.

Yule jamaa wa we like to party from Wednesday to Friday ndo huyu Smart911 sasa nimekuweka wazi kwenu.

Jana tulikutana karambezi pale sea cliff na tuliondoka hapo sea cliff mchana wa leo yeye akirudi kwake nami nimerudi kwangu.

Kila mtu anajipanga kwa ajili ya safari ya kwenda kusheherekea the festive season. Tutaondoka tarehe 23 na tutakuwa na vituo vingi tuu.

Kiukweli Smart911 amenikosha roho na amenifumba macho sioni kwingine kokote wala sisikii sauti nyingine yoyote zaidi yake. Mmmh si kwa mautamu niliyopata jana acheni tuu.

Kwa nafasi hii nawatakia wana MMU wote heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya. Asiye na wake aeleke jiwe au mgomba. ..

Peace and Love.
cc mahondaw
 
Saint Ivuga

sio kwamba nilikuwa nawafuatilia ila karibia kila nyuzi nazoingia nawaona halafu hawana jipya ata iwe siasa, hoja mchanganyiko, celebrit ni INASIKITISHA SANA, MAHONDAW WANGU USISIKILIZE YA DUNIA, MY KING NACHEKA KWA DHARAU...

Ilikuwa inanikera sana yaani sasa leo siwapumzikii nawachaana mpaka mchanike haswaaa tena siondoki ng'ooo mpaka mbadilishe tabia. Msipobadili basi tena na navyopenda umbeya aisehhhh jiandaeni kupata kiharusi
We kaka.
Sakayo Shunie yaani mbavu zinaniuma.
Shemela Saint Ivuga nacheka mpaka machozi yananitoka jamani huku.
Halafu nipo air port hapa namsubiri lato latooo
Watu wananishangaa tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom