Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HatariousOoh kwahiyo mahondaw aongee nini jaman huu uzi ni wa zamani ujue dada mahondaw havimuhusu kabisa
HatariousOoh kwahiyo mahondaw aongee nini jaman huu uzi ni wa zamani ujue dada mahondaw havimuhusu kabisa
Unaenda wapi labdaMungu anakuona
Muhenga napitaaaa
Mmmmhhhh salute kijanaKwako Kasinde:
Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni Kasinde...
Mioyo yetu tusibadili wangu kipenzi Kasinde tuepuke ushauri Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpenzi Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpanezi Kasinde...
MV Mapenzi Meli ya wapendanao
Moyo kama Bahari Manahodha mimi na Wewe
Duniani kuna mengi sawasawa na Bahari
Kuna Papa na Nyangumi tena wale wa hatari.....
Hawapendi kuiona Meli yetu baharini
Watafanya kila njia waifupishe Safari...
Ukipata muda leo, njoo Mahaba Beach, Ununio... Evening for Dinner...




HayaNimemuona mie dada
Kwa dada yenu mkubwa MaseratiUnaenda wapi labda
Lazima aumie.
Lakini hii si ni ex jamani???
NdioOoh kwahiyo mahondaw aongee nini jaman huu uzi ni wa zamani ujue dada mahondaw havimuhusu kabisa
Daah ila jf naiheshimu sana jamaan ujue najifunza kitu
OoohKwa dada yenu mkubwa Maserati
Nani kakuambia yamevurugika??Ila tumezidi jamani yani watu walikuwa wamekaa tayali kusubil siku itokee mapenz ya watu yavulugike duu hahaha
HeheheeSinaga mazoea na machizi ndio mana huwa namuignore
NdiooUmeonaee
Nilikuwa simpendi yule jamaaSinaga mazoea na machizi ndio mana huwa namuignore
Sijui kafikilia nini kuniulizia huyo chizi ata kwenye thread huwa siendi hata kulikeHehehee
Kumjua ulieshere nae sio jambo jepesi mamaNani kakuambia yamevurugika??
Mie simpendi siku zote mamy Mungu anisamehe kwa kumchukia mtu ambaye wala humjuiNilikuwa simpendi yule jamaa
Atakuwa tineja bila shakaNilikuwa simpendi yule jamaa
Nitatuliaje kwa mfano!Hahaha
Tulia bhana...