Ni babu na IvungaWahenga nyie sio wa nchi hii jaman
Tulia hivyo hivyoNimewaona mie dada
Maana sio kwa kuliamsha dude kiasi hicho. Dyadya atakufa na presha
Aisee ujue wewe ni katuni hahahahaha . Yani shemela ww




shemela, soon nawalete habari njema. HahahaLazima ucheke.
Maana duh!!! Hadi najikuta nacheka peke angu watu wananishangaa
Ikiwa haukuweka cc basi hayatafukulika.Makaburi mengine hayafukuliki




mjue nyie ndio mnanifundisha umbea mie na haya mambo wapi na wapi mshindwee aisee
AhhahahTulia hivyo hivyo
Jmo aliimba akisemaMasikini mtoto wa watu atakuwa anaufwatilia uzi ndani ya shuka leo dah
Cc trudie
Sent from my Iphone 7 plus using JamiiForums app
Nimekupenda bure Alepponampenda sana mahondaw ndo maana sitaki aumie lazima nimuambie ukweli juu ya wanaume kama kina smart hawa sio anaweza tembea na demu wako hivi hivi ukijakumuona kama unakonyezwa konyezwa kama saa za kichina.
Pole kipenzi changu cha sekondari, jua nakupenda saaaaana na bado ntakupenda bora niugulie rohoni bali ujue nakupenda,
Huyu smart inabidi aandalie kampeni sio kwa kutuharibia dada zetu, tuwalee, tuwatunde alafu aje afanye anachotaka...
mimi nasubiria hapa, kitakacho endelea leo lazima kije na muendelezo wake hapa
HahahaSasa sakayo ban tena yanatoka wapi hayo jamani??? Na ubuyu huu!!! Aisee nikipigwa ban hapo hapo nafungua maserati 2![]()
Ohoo ulikua hujui eeh me kila post yake naifuatilia
Nakuonaa nakuonaaaNimekupenda bure Aleppo
Lazima aumie.nampenda sana mahondaw ndo maana sitaki aumie lazima nimuambie ukweli juu ya wanaume kama kina smart hawa sio anaweza tembea na demu wako hivi hivi ukijakumuona kama unakonyezwa konyezwa kama saa za kichina.
Pole kipenzi changu cha sekondari, jua nakupenda saaaaana na bado ntakupenda bora niugulie rohoni bali ujue nakupenda,
Huyu smart inabidi aandalie kampeni sio kwa kutuharibia dada zetu, tuwalee, tuwatunde alafu aje afanye anachotaka...
mimi nasubiria hapa, kitakacho endelea leo lazima kije na muendelezo wake hapa
We sakayo unanikata pumzi sasa...Hahaha
Mbona huku hafiki sasaaa
Hahahamjue nyie ndio mnanifundisha umbea mie na haya mambo wapi na wapi mshindwee aisee
We muhenga mwenzetu hukumjue nyie ndio mnanifundisha umbea mie na haya mambo wapi na wapi mshindwee aisee



