Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
DadanguNimesema mimi muhenga mwenzetu huyo![]()
DadanguNimesema mimi muhenga mwenzetu huyo![]()
Haya bwanaNishatulia mie dada
Mahandow... Ujue anatoka mkoa mmoja na TWifi yako yupi tena jamaan
Mungu anakuonaUone wahenga walivyo mdogo wangu
Ooh kwahiyo mahondaw aongee nini jaman huu uzi ni wa zamani ujue dada mahondaw havimuhusu kabisaMahandow... Ujue anatoka mkoa mmoja na T
Mara chacheShkamo kaka
Umemuona kakako lakiniYes labda iwe utani acha watu wakulane kimya tu hata mkiachana mnajua wenyewe tu maisha yanaendelea asante jf kila siku unazidi kunifundisha vitu vipya
Mungu akubarikinakuja kuitika kaka, nivumilie
Mie Allepo muoga na hela za watu jaman tena za wanaume ndio kabisaAcha zako bana shunie mimi wanawake hawajawahi kunipenda wanapenda hela zangu tuuu, sasa nampango wa kununua chuma ulete nikitoa buku naletewa buku mbili
UmeonaeeNimesema mimi muhenga mwenzetu huyo![]()
Hii ndio jf mpenziHapa kuna mawili ukimsoma mwanaume mahusiano yake ya nyuma na ya sasa kwa undani utagundua.
1. Lazima ni huwa ni utani na hajadate na yeyote.
2. Haiwezekani sifa anazomsifia kasinde zifanane na zile lazima kuna kusifiana uongo.
Mapenzi ya jf siyo ya kuyapa umakini.
Kuna couple moja kipindi cha 2015 ilikuwa fire. Yaan mwanamke full kumsifia mume wake. Nashangaa 2016 binti ana Mtu mwingine na sifa anazomwagia ni zile zile. Inamaana basi x wake na wa sasa wamefanana kila kitu.
Kuna siri kubwa ndani ya jf.
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Nimemuona mie dadaUmemuona kakako lakini
MmmmhMara chache
Ila tumezidi jamani yani watu walikuwa wamekaa tayali kusubil siku itokee mapenz ya watu yavulugike duu hahahaagata, jasiri haachi asili. Hii ndio nature yetu, hatuwezi kuiacha katu asilani.
Kuna forum moja huwa naingia, ni jamii tofauti na yetu, mambo ni tofauti kabisa, mtu aweza kuleta thread ambayo kama ingekuwa kwetu tungemtukana, kumjaji, lakini wenzetu wala.
HakikaHii ndio jf mpenzi