Hahaha eti mange wewe maserati embu nitake radhi






HahahaKule kwingine nimekutag katokea kule. Aiseee anatafutwa kama mwezi wa ramadhani siku ya 30![]()
Huyo muhenga ni miongoni mwa wafukuaji hili kaburiKumbe uliniona huku eeeh... Halafu kule siasani unaniuliza
TehKwako Kasinde:
Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni Kasinde...
Mioyo yetu tusibadili wangu kipenzi Kasinde tuepuke ushauri Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpenzi Kasinde...
Na mahasidi wa penzi o Kasinde...
Wa mahasidi wa penzi mpanezi Kasinde...
MV Mapenzi Meli ya wapendanao
Moyo kama Bahari Manahodha mimi na Wewe
Duniani kuna mengi sawasawa na Bahari
Kuna Papa na Nyangumi tena wale wa hatari.....
Hawapendi kuiona Meli yetu baharini
Watafanya kila njia waifupishe Safari...
Ukipata muda leo, njoo Mahaba Beach, Ununio... Evening for Dinner...
Aiseee.. Kumbe alikuwa anamsikitikia mwenzake mahondaw
Na venye hapendwiiiiHuyo muhenga ni miongoni mwa wafukuaji hili kaburi
Nipo mimiYuko wapi jamani
Kule kwingine nimekutag katokea kule. Aiseee anatafutwa kama mwezi wa ramadhani siku ya 30![]()

HahahaNyie ndugu zake mange kimambi nimewashindwa aisee tena nawagawa bureeeee mkiongozwa na dada yenu rubiii
Uone wahenga walivyo mdogo wanguNipo mimi
Wahenga nyie sio wa nchi hii jamanHahaha
Umeona wahenga lakini
Nimewaona mie dadaUone wahenga walivyo mdogo wangu
Aisee ujue wewe ni katuni hahahahaha . Yani shemela wwKule kwingine nimekutag katokea kule. Aiseee anatafutwa kama mwezi wa ramadhani siku ya 30![]()
Lazima ucheke.Hahaha
Nimejikuta nacheka tuu
Huyu dogo smart ujue nilikuwa simuelewi.Jirani yaani hayo masikitiko ni kama ya R.I.P maana ukifika kwenye rest in peace huwezi kurudi tena ni kama maji na mafuta