Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Nimeenda isikiliza. Actually amechukua kisehemu tu cha beat. Halafu yale mapigo ndio kayafanya ndio yamekuwa beat nzima.
Na Ashanti ndio kama ameisample ya Frankie kwa asilimia kubwa ni kama amecopy na kupaste yote. Ila uneona sasa zote zimetoka kali.
Tumegongana, wewe tunaweza ishi pamoja😀
Ningejua kupakia mm ninazo zote mpaka reggae, old-school za kila aina zipoHivi hakuna mtu mwenye dj mix ya hizi ngoma atupe hapa
Kama kuna mkongwe humu aje tutembee na za 70's _ 80 hapo kwa wakina Madonna na George michael..
Yes,ngoma nzuri sana hiiSorry 2004 - ruben studad
Trust - keyshia cole ft monica
George Benson - Nothing's gonna change my love for you
Vipi HOLIDAY nayo n kisanga SanaNimemshuhudia live Lady Madonna "Who's that girl tour" 1987 Honshu Japan.
Who's that girl- Madonna ni wimbo wangu wa muda wote.
Bailamos- Enrique Igliseas
Case. missing you
Nina mixtape za slow jamz vs old skul sema ndeef sana.Hivi hakuna mtu mwenye dj mix ya hizi ngoma atupe hapa
Share mkuu. BlessNina mixtape za slow jamz vs old skul sema ndeef sana.
Ohhhh Usher
Confession II
- never gonna let u go by Feith Evans
- all my life by changing faces
- brown eyes by Destiny Child
- Don let go by Envogue
- imagination - Tamia
- what if - baby face
- jolly by Dolly Parton
- incomplete by sisqo
Usher yupo vzr.. mno huyo Neyo pmj na CBNoma sana. Naomba kuongezea kwamba ngoma hii ilibeba jina la Album. Kama kawaida Usher ngoma zake nyingi ametengeneza Jermaine Dupri ikiwemo hii ambayo pia ameandika "co-wrote" na Dupri.
Dupri amekuwa anamuweza sana Usher na ngoma nyingi zimeshinda grammy ikiwemo hii "confession" "My way" ,"You got it bad" isipokuwa "You remind me" ambayo imetengenezwa Bad boy kwa Diddy.
Utamu wa ngoma nyingi za Usher ni kwenye video ambapo huwa anaacha kuimba na anacheza kwa ustadi na ufundi mkubwa basi huwa ni burudani isiyo kifani. Tazama "Confession" mwishoni pale dogo anavyoshake na Amefican boots zake. Mwacheni huyu dogo ashinde grammy aisee.
Sawa ni large file ngoja nii-convertShare mkuu. Bless
Yeah, kujua anajua ila hayo mengine ni yake tuHuyu mzee pamoja na kwamba ni "wali nazi" ila kuna ngoma zake mbili ni lifetime and timeless nazikubali.
Nikita-elton john
Sacrifice- elton john
Experience nzurii sanaa Mkuu.Nimemshuhudia live Lady Madonna "Who's that girl tour" 1987 Honshu Japan.
Who's that girl- Madonna ni wimbo wangu wa muda wote.