Slow jams - pini ipi ilikubamba

We’ll come back - Mase
Mase - Feel so good

Humu jamaa alikuwa wamoto na beat ni ya moto kikawaka studio hii ngoma hadi kesho ukiweka kwenye radio lazima bega licheze lenyewe bila wewe kulichezesha.
 
Wakongwe mmetisha Sana[emoji120]
Na bado. Tukuwaambia madogo sisi ni kaka zao huwa wanajua ni mikwala sasa wanaona hapa hizi nyimbo mbona sisi hatujawahi zisikia zilitamba mwaka gani.

Kumbe miaka zinatamba na sisi ndio tunazisikiliza redioni yaani sio online mtandaoni, redioni Dj anapiga kama wao wanavyomsikiliza harmonize sasa akisema "amelowa" [emoji23][emoji23][emoji23]

Madogo wamenyuti nyuuuh kimyaaa. Wameshajua kumbe humu tupo na watu walioliona jua kabla yetu.
 
Joe Thomas - Priceless
Daaaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwamba [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] we jamaa unazijua. Lazima ungoe pisi kali kwa kuzielewa hizi nyimbo. Maana hizi ni za kule R&B chamber of rare flavor.
 
Welcome to the family of R&B lovers.
 
Uncle Sam - I don't ever wanna see you again
Mwamba akilalamika sana humu hadi nikahisi ni mwanangu fulani hivi kapigwa kibuti hadi kaamua kutunga ngoma kutoa ya moyoni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…