EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Mwaka jana wakati wa kampeni niliandika sana hapa kuhusiana na website ya chadema, nikapigwa mawe kama nini. Kwa chama kama kile kinabid kiwe na site bora ambayo wanaweza kuitumia kuwaikia watu. Pia nimwulie mdau aliteleta hii mada, kwa nini ameweka mpaka details za watu waliocomment huko facebook?