Na CCM ni sawa na chura
Juzi Jumapili nimezika jirani yangu aliyefariki baada ya kujifungua mtoto wake, mwezi wa kumi na moja nimezika mke wa shemeji yangu aliyebakia na uchafu tumboni kwa muda wa wiki mbili toka ajifungue, mwezi huo huo nilizika rafiki wa mke wa mdogo wa jamaa tuliyeoa familia moja mtoto na mama walifariki at pa, jana mtoto wa marehemu tuliyemzika jumapili nae kafariki wote hawa hapa hapa dar es salaam.
Katikati ya vifo vyote hivi vya kizembe kabisa anajitokeza mtu mwenye mamlaka katika uendeshaji wa serikali yetu anatutangazia kwamba fulani ana kadi ya CCM na anailipia. what the ****!!!!
MKUU umeshaambiwa kuwa "mti wenye matunda bora na yaloiva ndio unaotupiwa mawe na vigingi" nao ni Dr Slaa.Hii inanipa mashaka sana kumbe hata kama si kushinda uchaguzi wa 2010,kura za dr slaa zilichakachuliwa sana.Ni kwanini aandamwe kila siku na ccm?kwanini ccm wanataka kummaliza kisiasa?watapata faida gani dr slaa akifa kisiasa?ni kwanini ccm wasipambane nae kwa hoja wanapambana kwa mbinu chafu?kwanini wanunue mamluki kama kweli wanajiamini?kwanini hizo nguvu wasizitumie kuwatumikia wananchi?
Nionavyo mimi kuchafuliwa kwa dr slaa kunazidi kumjenga na kumpa umaarufu mara dufu
Hii inanipa mashaka sana kumbe hata kama si kushinda uchaguzi wa 2010,kura za dr slaa zilichakachuliwa sana.Ni kwanini aandamwe kila siku na ccm?kwanini ccm wanataka kummaliza kisiasa?watapata faida gani dr slaa akifa kisiasa?ni kwanini ccm wasipambane nae kwa hoja wanapambana kwa mbinu chafu?kwanini wanunue mamluki kama kweli wanajiamini?kwanini hizo nguvu wasizitumie kuwatumikia wananchi?
Nionavyo mimi kuchafuliwa kwa dr slaa kunazidi kumjenga na kumpa umaarufu mara dufu
mawazo ya chooni.
Labda kama unaongelea kule uchagani na kule karatu
Huu utafiti unatia wasiwasi, Maana siamini kama Dk Slaa alishindwa.Hata uchaguzi mkuu mwaka jana 2010 Dr. Slaa alishinda hivyo hivyo na alimshinda JK ila walichakachua kama kawaida yao magamba!
Mkuu nimetafakari sana sijakurupuka wala sioti na nipo sayari ya dunia. Ila ngoja tuone jibu litapatikana soonUtakua upo sayari ya mars unaota
Mkuu wanaagalia dini sio dhehebuKama kuna utaratibu wa kubadilisha Rais kwa dini zao basi safari hii awekwe Mlutheri....kwa vile ukawa tunawaombea wachukuwe nchi..hebu tuambie ni Mlutheri gani yuko ukawa anaefaa
Kama kuna utaratibu wa kubadilisha Rais kwa dini zao basi safari hii awekwe Mlutheri....kwa vile ukawa tunawaombea wachukuwe nchi..hebu tuambie ni Mlutheri gani yuko ukawa anaefaa