Hakuna wakuweweseka ccm mbelebkwa mbele
kwanza ni walaghai - Mwl JKN hakuwai kuvaa shati la kijani po pote pale wakati wa uhai wake. Alikuwa ni mtu wa busara sana na anayeona mbali. Kama leo hii angekuwa hai, angempigia kampeni Lowassa kama makada wengine wa ccm wanavyofanya.kwani Nyerere anagombea urais hata waweke bango lake?
kweli yamewabana.
Nadhani uelewa wako ni mdogo sana wa kupambanua mambo, au ni makusudi au ni ukibaka wa kwenye JF. liko wapi kosa la Dr. slaa? siku zote nzee ni msema kweli na ataendelea kusema kweli daima, tulio wengi ni wenye hali ngumu sana na tunahitaji kiongozi na si bora kiongozi, unajua nyie mnaochagua vyama ndo tatizo, cc tunahitaji kiongozi kutoka chama chochote kile, ila asiwe fisadi kama wa UKAWA, kampeni zao hadi muda hakuna anayeongelea swala la rushwa na ufisadi, unategemea nn hapo badae? kama mna makengeza endeleeni, lakini waelewa tumekwishastuka, na kwa kuwa mnajidai kwamba mmemsahau Dr.Slaa si siku nyingi mtamkumbuka kwa kusema ukweli na misimamo yake.
Itabid tuseme msemo mmoja wa wamarekani **Whether he will bring development or not we will choose Obama to show the world that America is for everyone**.Na sisi tunasema, whether he will bring development or not we will choose LOWASA from UKAWA to show the world that Tanzania is for every one, not CCM only. Mabadiriko ya kweli ni ndani ya UKAWA. Lowasa oyeeeeeee
Nadhani uelewa wako ni mdogo sana wa kupambanua mambo, au ni makusudi au ni ukibaka wa kwenye JF. liko wapi kosa la Dr. slaa? siku zote nzee ni msema kweli na ataendelea kusema kweli daima, tulio wengi ni wenye hali ngumu sana na tunahitaji kiongozi na si bora kiongozi, unajua nyie mnaochagua vyama ndo tatizo, cc tunahitaji kiongozi kutoka chama chochote kile, ila asiwe fisadi kama wa UKAWA, kampeni zao hadi muda hakuna anayeongelea swala la rushwa na ufisadi, unategemea nn hapo badae? kama mna makengeza endeleeni, lakini waelewa tumekwishastuka, na kwa kuwa mnajidai kwamba mmemsahau Dr.Slaa si siku nyingi mtamkumbuka kwa kusema ukweli na misimamo yake.
Katika.hali isiyo ya kawaidaa CCM baada ya kuona mabango ya Magufuli hayana mvuto wameamua kuyashusha na kujibu mapigo kwa kuweka mabangi yenye vijembe kwa Lowassa
![]()