Slaa soma hapa huko kote unasumbuka bure!!

Slaa soma hapa huko kote unasumbuka bure!!

Mwaka uhu awasemi chagua thithiem wameweka logo ya M iliyochanika na picha ya makufuli na hapa kazi tu.... Wanaweweseka sana mwaka uhuuu....
 
Bavicha Acheni kuhangaika.

Hii nchi sio ya majaribio.
 
slaa yeye aendelee kubwatuka unafiki tu, Sisi mbele kwa mbele Lowasa tuuuu!

Umeona ehe, Slaa anahangaika bure, kura zetu kwa Lowassa na wabunge na madiwani wa UKAWA ziko pale pale.

Tiba
 
Kwa mara ya kwanza ccm wanaacha kuhubiri ilani wako busy na vijembe
 
slaa embu ona post yang nnavyokujbu mana una ID humu JF;
dr. mihogo kwann unaendeshwa na mke ambae anaonekana wazi hakupend?
yan hata ukimwangalia uson amekaa kmchepuko chepuko.. alaf nackia LizaKUZALIWA ana mbandua wfe wa:'(^-^:'(^-^:'(^-^;-)
 
Hahahaha yani hadi mabango yanawatisha, huyo mamvi hazuiliki kwanza akikaakwenye bango tu anaonekana anamvuto kushinda hata kushinda msoga.


Alishaxema yeye, ... ya kuwa hakuna awezaye kuzuia mafuriko kwa mkono. Na-Unye akabisha, na pamoja na wenzake na kwa uchache wao wakaona ni maskhara. Sasa wanayaona. Hawa masisyemu naona wanaweza kumpeleka mgombea wao SALUNI ili akapake WANJA huenda akawa na mvuto kidogo, japo wa sura tu.
 
Yaani hii kwa watanzania ni sawa na mwanamme uliyechuma na mkeo toka penye shida mpaka mkajenga karibu tu ya kuhamia ukaona hafai ukaamua kwenda sinza ukanyanyua malaya yoyote pale ili mradi watu wakuone na wewe umebadilisha madhara yake ni makubwa sana baadae
 
Chichiem kweli wamekamatika..wakiangalia kigoma jana hawana hamu..hakukaliki hakulaliki
 
Kitendo cha Dk. Slaa kuibuka hadharani kumezidi kumwongezea Lowassa na kupunguza umaarufu wa Magufuli.

Utafiti unaonesha kuwa Lowassa amekuwa akizungumziwa maeneo mengi sana ukianzia vijiweni, usafiri wa umma,bar, vijiwe vya kahawa,sehemu za michezo, misikitini,n.k.

Mjadala wa Lowassa na UKAWA umekuwa upo katika kiwango cha juu kuliko CCM na Magufuli.

Mbaya zaidi watu wamefikia hatua ya kuvaa vitambulisho wa Lowassa kuliko Magufuli, sasa hivi kila ukitembea baada ya hatua tatu njiani baada ya hatua tatu unakutana na mtu kamvaaa Lowassa.

Utafiti pia umeonesha hadi sasa kuna maeneo hapa mjini hawamfahamu mgombea uraisi wa CCM, wengi wanajua Lowassa.

Je, hali hii ikiendelea unadhaniCCM wataweza kupambana na UKAWA maana hadi sasa kuna watu ndani ya Tanzania hawafahamu mgombea wa urais.

Nini hatma ya CCM na Magufuli?
 
Mapovu yatawatoka majizi ya Chukua Chako Mapema (C.C.M), naona mwenyekiti wao hali yake ni tete, amelowa na kuchuja vibaya, hadi anatia huruma. Nimeota wastaafu wote waliobaki C.C.M watakwenda kwa Rais mteule Edward Ngoyai Lowassa wakitambaa na sura zao zikiwa zimeshuka wakiomba kuhurumiwa & kusamehewa.
 
Back
Top Bottom