Slaa soma hapa huko kote unasumbuka bure!!

Slaa soma hapa huko kote unasumbuka bure!!

Tuko tayari kwa mabadiliko.Tanzania siyo ya kutawaliwa na ccm tumeichoka.We need changes
 
Slaa yeye aendelee kupiga domo,hapa ni Lowassa tu.Tumeshafanya maamuzi na hakuna kurudi nyuma,hata mtu ataje mabaya mara1000 ya EL bado hawez kunifanya niipigie kura ccm,ubaya wa ccm ni zaidi ya kashfa ya richmond.
 
Yaani hii kwa watanzania ni sawa na mwanamme uliyechuma na mkeo toka penye shida mpaka mkajenga karibu tu ya kuhamia ukaona hafai ukaamua kwenda sinza ukanyanyua malaya yoyote pale ili mradi watu wakuone na wewe umebadilisha madhara yake ni makubwa sana baadae

Na mke wa mtandao ni vipi? Halafu aliyesota Sinza anajua shida kuliko wa geti kali au wakijijini
 
Bavicha Acheni kuhangaika.

Hii nchi sio ya majaribio.

Unamaanisha hii nchi ni ya kutafunwa au? Nyerere alipopewa nchi alikuwa anajaribu au alizoea? wenye vichwa vya samaki utawajua tu aisee futeni basi vyama vingi au ni vya nini wakati havitakaa viingie madarakani kwa kuwa ni majaribio! samaki huvuliwa kwa nyavu zile zile na ndoano zile zile miaka nenda rudi
 
nimepata shida sana ungeandika mzee magumashi soma hapa ninge elewa haraka sana ! Slaa hatujuwi unamanisha yupi mkuu ni hyu mzee magumashi au?
 
Tutokwe na mapovi kisa kipi mwenye kuninua uraisi ndiyo aweweseke siye aaaaaaaa ccm oyeee mbeleeekwa mbeleeeeee
 
Wamenikera kwa uonevu wanaoufanya kwa ukawa kwa kushusha mabango ya lowasa kwa visingzio mbalimbali, ccm Aachen uonevu Fanya siasa za kistaarabu.

Image ya Lowasa iko vchwani mwetu hata wakiyashusha kazi bure
 
Bavicha Acheni kuhangaika.

Hii nchi sio ya majaribio.


Ni kweli kabisa Mr. Junior. Ni mwiko kufanyia nchi hii majaribio kwa kuchagua tena masysyemu ambayo yamepruvu kuwa hayawezi kuongoza serikali kabisa. Miaka zaidi ya 50? Ni miaka mingapi zaidi wapewe kama wameshindwa kuleta mabadiliko miaka yote hiyo? Eti na mgombea wao anajidai, tena bila aibu, kusema kiwa naye amedhamiria kuleta mabadiliko. Mabadiliko from what to what? Sana sana, bil kujua kutokana na upweef (upofu) wake, anasaidia kuwasemea UKAWA kuwa serikali ya masisyemu ni failure.

Kwa hiyo Junior tulia tu dawa iingie, watanzania hawapaswi kufanya jaribio lingine la kuwapa mudanzaidi haa mafisadi wakuu maysyemu.
 
Ccm waendelee kufanya hivyo tu maana ndo jina la Lowassa linavyozidi kwenda mbali.
Ukimpiga chura teke hujamkomoa bali umemzidishia mwendo ndo kinachotokea kwa Lowassa
 
Wewe ni muongo Magufuli yuko juu sana tena usipime Edo yuko chini tena umaarufu wake unazidi kushuka pamoja na CDM yake iliyogeuka kuwa chama kifisadi na ukanda
 
Hata wakimwita fisadi we dony care...ni heri fisadi tunayemjua kuliko mafisadi na majizi yanayojificha na kujifanya masafi...tushaamua hata wasemeje Lowassa ndiye Rais ya JMT hata wasemeje!!

Na sio huko tu hata huku kila mtu ni UKAWA ...Lowassa tu!!

Ngoja ifike oct 25 ndio watajua na kuona malofa katika ubora wetu!!
 
Yaani hii kwa watanzania ni sawa na mwanamme uliyechuma na mkeo toka penye shida mpaka mkajenga karibu tu ya kuhamia ukaona hafai ukaamua kwenda sinza ukanyanyua malaya yoyote pale ili mradi watu wakuone na wewe umebadilisha madhara yake ni makubwa sana baadae

Mfano wako mtamu sana content yake imesadifu chama tawala safi sana huyo mke hafai tena tuendelee na mabadiliko yetu tu
 
Hakuna Ulofa na Upumbavu uliofanywa na Slaa kama kwenda kufanya kampeni za fitna dhidi ya Upinzani kwani ameonekana ni mwanasiasa wa hovyoooo kabisa!maana katika kitu cha kijinga nikuisafisha CCM ambapo ndiyo kuna genge la wezi kuliko huyu mwizi mmoja aliyejisalimisha polisi!
Umefeli na ujue baada ya siasa kina maisha!je wasipo shinda???utakuwa mgeni wa nani??Ila pole kwa kuwa LOFA NA MPUMBAVU.
 
Binafsi nimethibitisha hapa Mbeyakuna watu wengi tu hawamfahamu na hawamtaji Magufuli. Wanataja CCM wanapo refer Magufuli.

Na style ya CCM kushambulia upinzani imewapunguzia sana credibility hata kwa watu ambao sio wasomi sana
 
ATOHA.jpg
 
Hakuna Ulofa na Upumbavu uliofanywa na Slaa kama kwenda kufanya kampeni za fitna dhidi ya Upinzani kwani ameonekana ni mwanasiasa wa hovyoooo kabisa!maana katika kitu cha kijinga nikuisafisha CCM ambapo ndiyo kuna genge la wezi kuliko huyu mwizi mmoja aliyejisalimisha polisi!
Umefeli na ujue baada ya siasa kina maisha!je wasipo shinda???utakuwa mgeni wa nani??Ila pole kwa kuwa LOFA NA MPUMBAVU.

.
Huyu hana simile yoyote anapopigania mkono kwenda kinywani amesaliti kiapo cha kanisa, amesaliti ndoa amewasaliti watoto aliyowazaa mwenyewe sembuse upinzani?
ungeniambia kwamba yule mzee ingefika siku aanze kutumiwa na genge haramu la wahujumu wa mageuzi kama kina Mwigulu Dialo nk ningekukatalia hata kwa kujiapiza. ila sasa imekuwa kweli anatumiwa tu ka kondom na baadae atatupwa jalalani.

.
 
Back
Top Bottom