Dokta anatoa taarifa za kusikitisha,Mh Mbowe amekamatwa na yupo rock-up Dar,mipango ya kumpeleka Arusha inafanywa.Mbowe amesema wanaChadema wasiwe na hofu.CHADEMA inampango wa kuishitaki Serika kimataifa,mengi yanakuja kwani Dkt Slaa amesema Chadema inabidi ivuke mipaka....