Dkt Slaa Amemaliza kutoa hotuba fupi ya ufunguzi,amesimama bwana Benson mkurugenzi wa kurugenzi ya Mafunzo Chadema kama mchokoza mada,mambo yanaendelea..,anasema ukiingia CDM ni kwa ajiri ya kupigania watanzania (hapa anaelezea nafasi ya wanafunzi kama wanachama wa CDM)...