Nimeipenda hii lol!Msiba jamani!
ni mapema ila ni vema tuanze kuwaza kua ni nani atasimama kuiwakilsha chadema kat ya slaa,mbowe na zitto!niambieni!
SLAA-umri ni tatizo, shule yake ni ya kuongoza kundi lenye imani fulani si wananchi wa taifa fulani, mbinafsi sana ndani ya Chama, dikteta, ana makundi ndani ya Chama , MBOWE-shule ndogo, mbinafsi, Biashara zitamkwaza, ana makundi ndani ya Chama. Zitto si mbinafsi, ana shule ya kutosha, hana makundi ndani ya chama, ni kijana. Mkuu nadhani unaweza kujua sasa nani anafaa kati hao Magwanda watatu
Zito Kabwe~ Muha, Muislamu. Hii itaondoa dhana ya udini na ukabila.
Zito Kabwe~ Muha, Muislamu. Hii itaondoa dhana ya udini na ukabila.
Zito Kabwe~ Muha, Muislamu. Hii itaondoa dhana ya udini na ukabila.
Mzee Mtei hataki kusikia Slaa anagomea tena, sijui anashinikiza Mkwe arudi tena alipobbwagwa vibaya sana, lakini anajuwa kuwa Watanzania hawawezi kumchaguwa muuza pombe. Zitto kishatangaza kuwa na nia ya kugombea Urais, Shibuda nae kisha weka nia.
Lema ndio hivyo, shule alipiga chenga. Lussu hana mshiko, katoka Iramba. Usishangae CHADEMA kwa mara ya kwanza wakamsimamisha Leticia "Nyerere" wa Maryland,
Sasa hivi ni Zamu ya Kaskazini kupitia Lowassa hilo halina ubishi lasivyo CCM tutaisahau kwenye medani za siasaHatutakubali kuongozwa na Muislamu, zamu hii ni ya m~ Vatcan aloo. Au hujui utaratibu wa Urais hapa Tanzania? kama hujui, urais ni wa kupokezana kati ya mkatoliki na Muislamu.
The unseen is illustrated by the seen.
Zito Kabwe~ Muha, Muislamu. Hii itaondoa dhana ya udini na ukabila.