SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
Haaah haah hahaaa! Wakuuu, Mmekurupuka kujibu swali na wote kwenda chaka. Haja uliza kuiwakilisha CDM ktk nini. Labda nikuombe mtoa mada u-specify kuiwakilisha CDM wapi, ktk nini? Au kwenye Mazishi ya Mzee wetu Bob?:confused2:ni mapema ila ni vema tuanze kuwaza kua ni nani atasimama kuiwakilsha chadema kat ya slaa,mbowe na zitto!niambieni!