Kumbe kweli CHADEMA walifanya utafiti kabla ya kumweka DR Slaa kugomea Urais
maana haya matokeo ya awali yanatisha saaaaaaaaana duuuuh nimeamini, huyu jamaa kiboko, JK aliwaonya Wana CCM mapema kwamba Upinzani wame weka mtu asiye na doa, kumbe JK aliona mapema, aiseeeeee
maana haya matokeo ya awali yanatisha saaaaaaaaana duuuuh nimeamini, huyu jamaa kiboko, JK aliwaonya Wana CCM mapema kwamba Upinzani wame weka mtu asiye na doa, kumbe JK aliona mapema, aiseeeeee