Slaa: Mauaji yaliyofanywa na Polisi yanahitaji Kuundiwa Tume na si Kamati - YouTube
Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Slaa ametaka kuundwa ya kuchunguza mauaji badala ya kamati. Amesema kamati haina nguvu kisheria na ni usanii wa waziri Nchimbi tu.
Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Slaa ametaka kuundwa ya kuchunguza mauaji badala ya kamati. Amesema kamati haina nguvu kisheria na ni usanii wa waziri Nchimbi tu.