Hivi Mbowe na Zitto kukubali kuwa viongozi wa upinzani bungeni, na Marando kuwania uspika ina maana wao wameyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na madai ya katibu wao mkuu ambaye ndiye alikuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho kwamba kura hasa za urais zilibadishwa na kwamba usalama wa taifa ulihusika kufanikisha ubatili huo, sheria inasemaje kuhusu hili, Na je yeye mwenyewe mbona hasikiki, haonekani
Hivi Mbowe na Zitto kukubali kuwa viongozi wa upinzani bungeni, na Marando kuwania uspika ina maana wao wameyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na madai ya katibu wao mkuu ambaye ndiye alikuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho kwamba kura hasa za urais zilibadishwa na kwamba usalama wa taifa ulihusika kufanikisha ubatili huo, sheria inasemaje kuhusu hili, Na je yeye mwenyewe mbona hasikiki, haonekani
Hivi Mbowe na Zitto kukubali kuwa viongozi wa upinzani bungeni, na Marando kuwania uspika ina maana wao wameyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na madai ya katibu wao mkuu ambaye ndiye alikuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho kwamba kura hasa za urais zilibadishwa na kwamba usalama wa taifa ulihusika kufanikisha ubatili huo, sheria inasemaje kuhusu hili, Na je yeye mwenyewe mbona hasikiki, haonekani
Au leo nimeamka vibaya?
Thread ya pili hii siielewi.
HAlafu akishakataa itakuwaje kulingana na katiba mbofu mbofu. Dr. Slaa aliweza tuliza ghasia ambazo CCM na vyombo vyake vya usalama wasingeweza zima. Angalia yaliyotokea Mwanza, SHY na DAR japo kidogo tu na vipi tangazo lingetoka kwa Dr.Slaa.