Hivi Mbowe na Zitto kukubali kuwa viongozi wa upinzani bungeni, na Marando kuwania uspika ina maana wao wameyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na madai ya katibu wao mkuu ambaye ndiye alikuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho kwamba kura hasa za urais zilibadishwa na kwamba usalama wa taifa ulihusika kufanikisha ubatili huo, sheria inasemaje kuhusu hili, Na je yeye mwenyewe mbona hasikiki, haonekani