Slaa: Jakaya Kikwete ana mkono EPA

Slaa: Jakaya Kikwete ana mkono EPA

Mkuu
Hao wanaitwa Lumumba Buku saba(LB7)!
Wasikubabaishe kabisa!Wanalipwa ili kutetea uongo,hiyo ndio kazi Yao!Kwa hiyo nakushauri uendelee kuwa positive na kusimamia ukweli!MaanaUKWELI utakuweka HURU!

Achana na hawa KENGE ambao wako tayari kuuza UKWELI kwa sababu ya njaa!

CCM HAIKUBALIKI,UNGANA NA WAZALENDO KUITOKOMEZA!

Muongo mimi au Kibabu kilichosema kitawashika na kuwafunga jela tena watu waliokwishahukumiwa na kutumikia adhabu!
 
babu amekosa vya kuwaambia ameona aibue viporo vilivyo mpa umaarufu wa muda, hii ni ajabu kabisa kukosa sera za kuzungumzia
 
Hivi Jk kawasaki he has kwa majina (specifically) au makundi flani na wao wa kajug aika? Naomba kujua kwa ajuaye sina facts bandugu
 
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!

na hiyo katiba wanayopigania hawa chadema ni ipi hasa??

mbona ya kwao wanaivunja na kuichambua chambua kama karanga??

mimi napata shida kidogo kuona kwamba wanapata wapi mawazo ya kuwazia kwenda ikulu??
 
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
Kwa kutoa msamaha wakati wezi wa kuku wanasota.au na wewe una share nini?
 
kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
hivi eti dr.slaa ni mwongo kuliko mama yako?
 
team B7 toka lumumba limevamia kumtetea fisadi jk anayewaachia mafisadi wenzake walioiba pamoja mahela ya bot,..huyu jk lazima naye akanyee debe siku maccm yakifurumushwa madarakani..huu mzimu wa epa hautokuja kumwacha m.kwere sababu zile hela zilizoibwa na maccm ndizo zilimpeleka ikulu.
 
na hiyo katiba wanayopigania hawa chadema ni ipi hasa??

mbona ya kwao wanaivunja na kuichambua chambua kama karanga??

mimi napata shida kidogo kuona kwamba wanapata wapi mawazo ya kuwazia kwenda ikulu??
kwa wananchi,nyinyi ndio mliorogwa na moshi wa mwenge wa uhuru.
 
Jamani wana JF tulinde lengo la uwepo wa JUKWAA HILI; napata taabu kuamini kama tunaojadili thread kama hii tunafahamu tunacho kijadili au tunasukumwa na chuki binafsi. hoja iliyopo ni kuachiwa huru Watuhumiwa wa EPA lakini mtu mzima anakuja na hoja nje ya mada tajwa. JF Inaharibiwa na watu wachache; Awali jukwaa hili liliaminika sana lakini kutokana na uwezo mdogo wa uchangiaji katika jukwaa imekuwa ni mahali pa mawazo dhaifu, utoto na ushindani usio na mantiki. Endapo unahusika katika kuharibu JF ni Busara kujitathimini na kama huna wazo la kuchangia, ruhusu watu wengine wachangie ili uweze kujifunza kwa faida yako mwenyewe.
JITATHIMINI KABLA YA KUCHANGIA HOJA. Tunawapa kazi sana mods kupitia thread hizi zote.

JAMANI TUINUSURU JF ISIWE YA KIHUNI, ISIYOELEWEKA.

JF NI CHOMBO CHA UPASHANAJI HABARI, KUELIMISHANA KWA UHURU LAKINI NI WENYE KUFIKIRI KABLA YA KUANDIKA WANAWEZA KUWA MSAADA KWA WATU WENGINE WENYE KUTUMIA JUKWAA HILI.

JITATHIMINI.
 
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!

Walitangaza na kuweka wazi vigezo vya wafungwa wataoachiwa na aina ya makosa, na waliweka wazi aina ya makosa ambayo hayatagugwa na moja wapo ni makosa ya ubadhilifu wa mali ya uma na wahujumu uchumi ambapo hao wafungwa wa EPA ndo wanapoangukia, sasa kwa kweli hata me nmeshangaa ni kwanini wamepata msamaha na wakati waliweka wazi hivyo vigezo na aina ya makosa
 
We muuza maji div 5, unaushahidi? Halafu we kazi huna kwa uduni wako wa elimu halafu unamchukia kikwete!

Nazani unakumbuka report inasemaje kuhusu kikwete anapendwa na watu wa aina gani
 
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!

Mbele ya system iliyo corrupt, hii unayosema wewe sijui Parole Body na hiyo Autrofois Convict/Aquit haina maana yoyote,vinakuwa non function!!.

Defenetely Yes inawezekana,analolisema DR W.P.SLAA si tu kwa hao wafungwa waliosamehewa kiaina na kimtindo na mwizi mwenzao (JK na CCM yake wote ni wezi tu) kupitia EPA, hata Rais mwenyewe anaweza kufikishwa mahakamani na kufungwa pia!!

Eti,umeuliza kwa sheria ipi!!? Huwezi pengine kuipata sheria hiyo/hizo chini ya utawala wa CCM,kwa sababu wote ni ma - "blind"....lakini zipo zinakuja chini ya utawala wa wengine wenye akili na wanaotaka kuifufua nchi hii,na hata hizo ambazo hamzioni sasa kwa sababu ya kuwa vipofu chini ya CCM,itafika time yake mtaziona na mtawaona hata wale ambao hawajawahi kuziona jela hata kwa mbali tu wakiingia huko kabisa na kulipia uovu wao walioufanya kwa mwavuli wa "UTAWALA!!"......

Trust me, saa na siku yaja ambayo kila ovu lililojificha chini ya busati, LITAFUMULIWA na kuwekwa wazi. HAKUNA MAREFU YASIO KUWA NA MWISHO!!
 
Back
Top Bottom