Mkuu, Mbona DR SLAA na MBOWE wanatafuna sana fedha za walipa kodi na bado mnawashangilia? pia DR SLAA anapora wake za watu na bado mnampigia makofi. huo si ufisadi?
unechekesha yaani tuamini tuu kwa sababu unatuhumu,mbona hutaji michago yao ya pesa na mali waliyowekeza kwenye chama Dr Slaa na wake zake ni maisha yake wote wale watu wazima walipenda kuwa sehemu ya maisha yake angalau yeye tunawajua hao wawili jee wale waliofunga familia nzima jela kwa sababu ya mapenzi unawasemaje