Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
mkuu sizile buku 7uakika wenyewe wanajua tatizo njaaLumumba wanashambulia
mkuu sizile buku 7uakika wenyewe wanajua tatizo njaaLumumba wanashambulia
Mbele ya system iliyo corrupt, hii unayosema wewe sijui Parole Body na hiyo Autrofois Convict/Aquit haina maana yoyote,vinakuwa non function!!.
Defenetely Yes inawezekana,analolisema DR W.P.SLAA si tu kwa hao wafungwa waliosamehewa kiaina na kimtindo na mwizi mwenzao (JK na CCM yake wote ni wezi tu) kupitia EPA, hata Rais mwenyewe anaweza kufikishwa mahakamani na kufungwa pia!!
Eti,umeuliza kwa sheria ipi!!? Huwezi pengine kuipata sheria hiyo/hizo chini ya utawala wa CCM,kwa sababu wote ni ma - "blind"....lakini zipo zinakuja chini ya utawala wa wengine wenye akili na wanaotaka kuifufua nchi hii,na hata hizo ambazo hamzioni sasa kwa sababu ya kuwa vipofu chini ya CCM,itafika time yake mtaziona na mtawaona hata wale ambao hawajawahi kuziona jela hata kwa mbali tu wakiingia huko kabisa na kulipia uovu wao walioufanya kwa mwavuli wa "UTAWALA!!"......
Trust me, saa na siku yaja ambayo kila ovu lililojificha chini ya busati, LITAFUMULIWA na kuwekwa wazi. HAKUNA MAREFU YASIO KUWA NA MWISHO!!
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
Tena asahau jk hajakurupuka kutoa msamaha
Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
Huyu mzee kachanganyikiwa sasa hizo epa alizofanya chadema na kanisani hazioni anakuja kumdandia jk hii gongo aliyoanza kuzalisha hii balaa sijui kama itawaacha salama hiyo gongo.
Dr Slaa anateswa na mzimu wa kupora wake za watu. ndo maana kutwa kucha yeye kazi ya kuwasema wanaume wenzake tu
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
Kweli kibabu ni kimechanganyikiwa! Hivi unadai utawakamata watu waliosamehewa magereza na kuwafunga tena! Acha uongo na kutafuta cheap popularity! We utawarudisha kwa sheria ipi? Unajua maana ya Autrofois aquit na autrofois convict? Mbona kizee kinakuwa kiongo namna hii! Na Jk anapotangaza msamaha,kuna kamati na parole body ambayo ndio inachambua kwa ngazi ya wilaya hadi kata kulingana na matatizo aliyonayo mfungwa, hapo Jk anahusikaje? Jamani ndio maana upadri umekushinda we mzee kwa uongo!
Mkuu, Mbona DR SLAA na MBOWE wanatafuna sana fedha za walipa kodi na bado mnawashangilia? pia DR SLAA anapora wake za watu na bado mnampigia makofi. huo si ufisadi?
Dr Slaa anateswa na mzimu wa kupora wake za watu. ndo maana kutwa kucha yeye kazi ya kuwasema wanaume wenzake tu
Mkuu mbumbumbu wewe na jinsi ulivyotamalakiwa na Slaa na Mbowe kiasi cha kupokea kila uchafu na takataka kama septic tank! Hujui kuchambua uongo na ukweli bora kasema Babu! Funguka usiwe mtumwa wa binadamu wewe! Ndio maana mungu kakupa kichwa, ubongo,macho na masikio uvitumie kutafakari na usisukumwe na mihemko. Ni kweli watu wanahitaji maendeleo tena sana lakini,sio kwa kudanganya umma! Mi nimesema atatumia procedure gani kuwafunga tena? Mbona swali rahisi! Au ataamua kuwa dikteta sasa kila anayemtamani kumshika basi anakamata na kuweka kusikkojulikana!
He! Huu utakuwa u dikteta mpya basi! Yaani utunge sheria mpya, umkamate mtu kwa sheria mpya na umuadhibu kwa kosa alilotenda ndani ya sheria ya zamani! Yaani utakuwa ni zaidi ya Hitler!