Slaa hili mbona hulisemei?

ndugu hao waliosema kuwa kuongezeka kwa ajira kumechangia mfumuko wa bei hawajui uchumi kabisa.mfumuko wa bei umesababishwa na mambo mengi mno ila kubwa zaidi ni geopolitics na economic revary between europe and fast growing economy of middle and far east. japo wanazuoni weng hawalijui hilo na ndo mana hata kulipatioa solution wameshindwa.
 
Unataka kusema kuwa saccos zimeongeza kipato cha wananchi wa vijijini!! 'ukipenda..... sepeto unaweza kuiita kijiko kikubwa

Ndio maana yake, kama umewezeshwa kuanzisha shughuli hapo ina maana idadi ya watu ambao hawana ajira inapungua !
 

The difference between stupidity and genius is that genius has its limits.
Albert Einstein
 

We kweli jinius brein!!!
Nikuulize mkuu, nawewe unasemaje, ni kweli ajira zimeongezeka?
 

Hilo linaeleweka, ww ndio hukuwaelewa wanachosema mojawapo ya sababu, hawajakuambia hiyo ndio sababu kuu, soma uelewe kwanza
 

Wewe ndio elimu yako ina walakin, kuongezeka kwa ajira kunaongeza purchasing power ambayo inaongeza money circulation hence inflation.
Nina wasi wasi na mwl wako wa uchumi kama hata point ndogo hivi inaleta shida, go back to the basics of economics
 
We kweli jinius brein!!!
Nikuulize mkuu, nawewe unasemaje, ni kweli ajira zimeongezeka?

Mie nakubaliana nao kabisa ajira zimeongezeka, sema sasa ww maana ya ajira unavyoielewa ww si sawa na ninavyoielewa mie , hapo ndipo tunapoweza kugongana kimtazamo
 
kwa ujinga wako unakubali kila unachoambiwa bila tafakari ya kina. Wewe ni maskini kabisa. . .
 
Wewe ndio elimu yako ina walakin, kuongezeka kwa ajira kunaongeza purchasing power ambayo inaongeza money circulation hence inflation.
Nina wasi wasi na mwl wako wa uchumi kama hata point ndogo hivi inaleta shida, go back to the basics of economics

Mkuu hapo kwenye red bold, atarudi vipi wakati ni product ya Shele za Kata; kwani umeona huwa wanafika wapi!!!
More than 95% huwa wanabaki mtaani..... hao ndo hawa wanatusumbua.

Wewe mtu analeta argument za kwenye kipindi cha redio!!! Nahisi aliyesema hiyvo alikuwa msikilizaji aliyechangia kwa simu!!!! Fyuuuu...
 
Wewe ndio elimu yako ina walakin, kuongezeka kwa ajira kunaongeza purchasing power ambayo inaongeza money circulation hence inflation.
Nina wasi wasi na mwl wako wa uchumi kama hata point ndogo hivi inaleta shida, go back to the basics of economics

Well elaborated ! thanx
 

Kukusaidia tu wewe inaonekana umebeba majibu ya kisiasa kama zuzu... hebu tupe hizo figure zinazoonesha kuwa ajira zimepanda kwanza ili tuweze kuijadili hii mada vizuri... Ila ninachokuhakikishia ni kwamba mfumuko wa bei huja pale ambapo benki kuu inakosa control ya mzunguko wa fedha. Na wamekosa control sababu fedha zinaingia kwenye mzunguko bila ya wao kujua a.k.a pesa zinazoingizwa kwa rushwa au biashara haramu... kitu kingine kinachosababisha inflation ni pamoja na kushuka kwa mauzo yetu ya nje hivyo kuwa na gap kubwa kati ya imports na exports... Kuna sababu nyingi sana lakini hii ya kuongezeka kwa ajira haipo, haijawahi kuwepo na haitokuwepo hata siku moja kwani ni uongo!!!

You can go through these 2 papers below if you like and have time....

http://www.imf.org/external/pubs/ft/wp/2001/wp01198.pdf

http://129.3.20.41/eps/mac/papers/0409/0409018.pdf
 
We kweli jinius brein!!!
Nikuulize mkuu, nawewe unasemaje, ni kweli ajira zimeongezeka?

Inaeezekana ajira zisiongezeke lkn purchasing power ikaongezeka. Hii upelekea watu kuspend sana kwenye imported luxuries ambayo ndiyo inapelekea kushusha thamani ya Tshs yetu hence chanzo kingine cha inflation. M fano mdogo ni magari na petrol.
Hivyo msiojua kaeni kimya acheni jazba, kuna mambo mengi ambayo wanasiasa hwwatuambii, hivyo akili za mbayuwayu changanya na za kwako..........
 
kwa ujinga wako unakubali kila unachoambiwa bila tafakari ya kina. Wewe ni maskini kabisa. . .

Ww sasa ndio mbumbumbu kabisaa, acha tukuelimishe na usione aibu kwa hili mkuu ! hapa ndio home of great thinkers , na ndio sie bana !
 

Umeona wapi ushahidi kuwa wanakusanya TZS 400bn kwa mwezi za kodi?
 

Mkuu wewe umeelewa sana hawa jamaa walichosema na umbumbumbu wa baadhi ya wana JF kuhusiana na masuala ya uchumi, hili liko wazi kabisa , utakuwa ni mwendawazimu kulibishia hili
 

Mkuu Mbona mapovu yanakutoka? Acha kudandia treni kwa mbele....
 
me kwaupande wangu ajira zimeongezeka mana uoni kutoka kamati ya nishati na madini adi kirisishwa madaraka na baba bado unalia una ajira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…