Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Ni kweli, akiamua kuzitumia anazo...
Yani wewe huwa ni mtu mzima na elimu yako lakini kichwa chako ni bureeeeeeee hata andazi lina nafuu!!!!!!
Ni kweli, akiamua kuzitumia anazo...
Haya sasa, wale bendera fuata upepo njooni na hili mpongeze. Mliwapongeza wafukuzaji sasa njooni mpongeze na kutenguliwa kwa maamuzi ya wafukuzaji...
Hayo yote ulikuwa hujui mpaka leo, lakini ulikuwa umeshasema kuwa waliofukuzwa ni wasaliti. Kitu gani kilikujulisha kuwa ni wasaliti hapo mwanzo ambacho sasa kimebadilika?
Hayo ndiyo wameona? Mbona Mtela hakusikilizwa? CDM NI GENGE LA WAHUNI.
Dr Slaa mwenyewe ndio anaongoza kwa kuvunja katiba!
Msitake niseme mengi ila mkitaka ntamwaga kila kitu hapa kuhusu dr.