Haya sasa, wale bendera fuata upepo njooni na hili mpongeze. Mliwapongeza wafukuzaji sasa njooni mpongeze na kutenguliwa kwa maamuzi ya wafukuzaji...
Ishu hapo ni kuwa na ujasiri ktk kufanya maamuzi, hakuna wogawoga hata kama ulikosea wewe unakuwa tayari kukosolewa ............hii ndio CDM na Tanzania mpya.
Iyena iyena kwao hii kitu ni mupya..............