Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 519
Dr Slaa mwenyewe ndio anaongoza kwa kuvunja katiba!
Msitake niseme mengi ila mkitaka ntamwaga kila kitu hapa kuhusu dr.
Wameshindwa 'kumwaga kila kitu' wale wanaoonekana kila sehemu kwenye mikutano na wale wanaokuja na majina halisi humu ndio uweze wewe unayejificha nyuma ya keyboard?! Tena na jina la kuchonga?! Kweli akili fupi hatari ya nchi!