Slaa apinga madiwani CHADEMA kufukuzwa

Slaa apinga madiwani CHADEMA kufukuzwa

Yaani mmekosa hoja kwa hili.
mnaungaunga maneno.
Hivi masalia wameishia wapi, nakumbuka mlivyokuwa mnatokwa mapovu kuwatetea. CDM huwa haturudi nyuma hatuna gea ya rivasi ni mbele kwa mbele tu, hata hapa mtanyamaza punde.
 
Maamuzi ya uongozi yanatakiwa kuwa thabit na yenye mwelekeo na sio kukurupuka mradi na wewe uonekane upo. Gwanda shika hatamu.
 
Halafu hawa madawani haya majina yao ndio yanawaponza...

Ukishakuwa na majina kama haya Ally Zeddy na Mariam Daudi Chacha,Zito Zuberi,Arfi,Habibu Mchange basi wewe
ni katika wale Magaidi...wavaa Vipedo..wavaa Kanzu...wala haluwa,....wala tende...wakaa vibarazani....wasiosoma...
Leo unaona fahari kushabikia somo la udini kutoka kwa kiranja wenu mkuu mr Fastjet yatakapowageuka msianze kulia lia eti amani inatoweka, yakibuma huwa hakuna cha mwenye kigoda wala mwenye meza muulizeni marehemu kakadafi alichofanyiwa.
 
Dr Slaa mwenyewe ndio anaongoza kwa kuvunja katiba!
Msitake niseme mengi ila mkitaka ntamwaga kila kitu hapa kuhusu dr.

unayotaka kuyamwaga yamwage si yako kwani kuna mtu anayeweza kukuzuia kumwaga mambo yako?mdomo si wako.
 
Leo unaona fahari kushabikia somo la udini kutoka kwa kiranja wenu mkuu mr Fastjet yatakapowageuka msianze kulia lia eti amani inatoweka, yakibuma huwa hakuna cha mwenye kigoda wala mwenye meza muulizeni marehemu kakadafi alichofanyiwa.

Acha uwoga wewe ... mimi udini nlioleta upo wapi... Hayo majina ndio mnayotuita Humu JF
Magaidi...wavaa Vipedo..wavaa Kanzu...wala haluwa,....wala tende...wakaa vibarazani....wasiosoma...

Au unaona nyinyi ndio mna haki peke yenu ya kutuita haya majina ? Tukijiita wenyewe inakuwa tabu ?
Acha uchoyo
 
Acha uwoga wewe ... mimi udini nlioleta upo wapi... Hayo majina ndio mnayotuita Humu JF
Magaidi...wavaa Vipedo..wavaa Kanzu...wala haluwa,....wala tende...wakaa vibarazani....wasiosoma...

Au unaona nyinyi ndio mna haki peke yenu ya kutuita haya majina ? Tukijiita wenyewe inakuwa tabu ?
Acha uchoyo
Sikushangai keep on keeping on maana Udini ni sera yenu iliyobarikiwa na viongozi wenu wakuu wa CCM.
Lakini hatutachoka kuwatahadhalisha.
 
Sikushangai keep on keeping on maana Udini ni sera yenu iliyobarikiwa na viongozi wenu wakuu wa CCM.

Udini tungeusema sisi ...sio wewe...kwani hatuoni mnayutufanyia huko maofisini ... kwenye nafasi za kazi....tunayaona yote ...na usidhani kwamba sisi ni mabwege .... udini upo kweli lakini nyinyi ndio mmmeuanzisha mkiongozwa na Mwenye heri nyerere....
 
Acha uwoga wewe ... mimi udini nlioleta upo wapi... Hayo majina ndio mnayotuita Humu JF
Magaidi...wavaa Vipedo..wavaa Kanzu...wala haluwa,....wala tende...wakaa vibarazani....wasiosoma...

Au unaona nyinyi ndio mna haki peke yenu ya kutuita haya majina ? Tukijiita wenyewe inakuwa tabu ?
Acha uchoyo
Umempatia kwelikwei hawa ni wanafiki mno
 
Udini tungeusema sisi ...sio wewe...kwani hatuoni mnayutufanyia huko maofisini ... kwenye nafasi za kazi....tunayaona yote ...na usidhani kwamba sisi ni mabwege .... udini upo kweli lakini nyinyi ndio mmmeuanzisha mkiongozwa na Mwenye heri nyerere....
Usimsahau na padre mpiga kampeni makanisani
 
Haya sasa, wale bendera fuata upepo njooni na hili mpongeze. Mliwapongeza wafukuzaji sasa njooni mpongeze na kutenguliwa kwa maamuzi ya wafukuzaji...

Kwahiyo umekubali kuwa wanaofukuzwa wanakuwa wamefanya makosa yanayostahili kufukuzwa, kama ile iliyokuwa midiwani huko Arusha na hii mimasalia iliyochukuliwa na maccm. kwenye haki hakuna pepesa macho. Kijiko kitaendelea kuitwa kijiko ndani ya CDM. Viva CHADEMA. Aluta continua.
 
Chama cha mungu yupi? Inaongekana huyo mungu dhaifu sana amekubali kuwa chama cha upinzani.

Pole naona unatokwa na povu! Usihangaike Mungu wa chadema ni tofauti kabisa na yule wenu mkuu!
 
Dr Slaa aliiba mke wa mtu.
Nipeni kifungu ktk katiba ya CHADEMA kinachoruhusu mwanachama wake kumnyang'anya mwananchi mnyonge mke!!
Tusitukanane jamani,naomba tushindane kwa hoja,tusishindane kwa matusi!!
matokeo ya form four tunayajua....
 
Dr. Slaa ana busara sana.

Kama kanuni ziko wazi na zinafuatwa bila kujali nani ni nani...! Maisha lazima yawe marahisi...tatizo linakuja pale kanuni zinapokikwa kwa baadhi ya watu.

Bahati nzuri Dr. Slaa anafahamu faida za kufuata kanuni husika katika jambo husika
 
Naona Matokeo ya form 4 yamekuchanganya sana binti jitulize unaweza ukapata mume akupunguzie mawazo kipindi hichi kigumu kwako
sikiliza mkuu sisi cdm tukiona kirusi tuna deliti saa hiyo hiyo kama kuna makosa tuna resrore hararaka chezezea chama cha mungu wewe utalala njaa k. wewe......
 
Dr Slaa aliiba mke wa mtu.
Nipeni kifungu ktk katiba ya CHADEMA kinachoruhusu mwanachama wake kumnyang'anya mwananchi mnyonge mke!!
Tusitukanane jamani,naomba tushindane kwa hoja,tusishindane kwa matusi!!

Pia atoe kifungu kinachoruhusu PADRI kuoa au Kukaa na KIMADA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom