Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
Hivi masalia wameishia wapi, nakumbuka mlivyokuwa mnatokwa mapovu kuwatetea. CDM huwa haturudi nyuma hatuna gea ya rivasi ni mbele kwa mbele tu, hata hapa mtanyamaza punde.Yaani mmekosa hoja kwa hili.
mnaungaunga maneno.