Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 724
Kiukweli hali inayo endelea sasa inatisha na kwa kweli ina tishia kabisa uhai wa ccm kabisa.Gwiji la siasa Dr Slaa mikutano yake ina tisha.Hali huko Mwanza tena Mbowe naye anafunika siyo kawaida.Sijui sasa ccm watabuni mbinu gani.Naona Zito ame watia tu hasara hakuna lolote alilofanya,wamepoteza hela bure.Nadhani wanaweza kumnyang'anya