Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Chris Mkosi upo?Mbona ana sura ya kawaida tu?
Sasa anatishaje watu, ???
Chris Mkosi upo?Mbona ana sura ya kawaida tu?
Sasa anatishaje watu, ???
Anayetisha katika siasa ya TZ ni ZZK tu, na huyo ndo anafaha kuwa raisi 2015, wengineo ni mibwende wangangania madaraka.
hii noma, umewafuata mpaka kwenye kichumba chao cha siri?CCM kwa sasa wanahangaika sana! Hebu tazama wananyohangaika pale Lumumba akina Simiyu yetu, ZeMarcopolo, Chabluma, Mwanadiwani na vibaka wengineo wa buku 7. Kazi kwelikweli!
![]()
CCM kwa sasa wanahangaika sana! Hebu tazama wananyohangaika pale Lumumba akina Simiyu yetu, ZeMarcopolo, Chabluma, Mwanadiwani na vibaka wengineo wa buku 7. Kazi kwelikweli!
![]()
CCM kwa sasa wanahangaika sana! Hebu tazama wananyohangaika pale Lumumba akina Simiyu yetu, ZeMarcopolo, Chabluma, Mwanadiwani na vibaka wengineo wa buku 7. Kazi kwelikweli!
![]()
Kiukweli hali inayo endelea sasa inatisha na kwa kweli ina tishia kabisa uhai wa ccm kabisa.Gwiji la siasa Dr Slaa mikutano yake ina tisha.Hali huko Mwanza tena Mbowe naye anafunika siyo kawaida.Sijui sasa ccm watabuni mbinu gani.Naona Zito ame watia tu hasara hakuna lolote alilofanya,wamepoteza hela bure.Nadhani wanaweza kumnyang'anya
Mbona ana sura ya kawaida tu?
Sasa anatishaje watu, ???
Nimecheka sana kwa hii photo