kenethedmund
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 347
- 89
Kaka yule Diwani wenu aliyeuawawa na wananchi saa 7 Mchana anazikwa lini, maana Diwani kuuliwa na wananchi wake waliomchagua kweli kazi ipo
Mbona ana sura ya kawaida tu?
Sasa anatishaje watu, ???