Slaa anaamini katika nini? Kipenzi mbeba maono, msaliti wa umma au maslahi binafsi?

Je ni Nani huyu Slaa?

  • Mbeba Maono

    Votes: 6 11.1%
  • Msaliti wa Umma

    Votes: 9 16.7%
  • Opportunist/Maslahi Binafisi

    Votes: 39 72.2%

  • Total voters
    54
  • Poll closed .
Siwezi kusema kuwa Slaa anaongozwa na maslahi binafsi. Naamini anayo sincerity katika maongezi yake.

Kila mwanadamu anazo pande mbili, ili inayojulikana kwa wote na ile ambayo walio karibu wanaifahamu vyema.

Namuona kama mbeba maono ambaye kichwani yupo njema sana, anao uwezo wa kuzitafsiri na kuzitilia mkazo sera zinazomuongoza popote alipo. Alichezewa mchezo na kaka wa Hai, lakini malengo yake hayajawahi kuwa na unafiki wa wazi wazi.
Hivi inawezekana ccm wakampa nafasi ya kugombea urais?
 
Alijisaliti mwenyewe kwa upumbavu wake.

Alikuwa upande wenu wala hamkumsikiliza, mwisho wa siku mlisaliti nguvu, kazi, kujitoa, (imagine alivunjwa mpaka mkono) na mwisho kabisa maono yake. Wasiokuwa upande wake wakamkumbuka. Mwisho wa siku unategemea ampende na kumtumikia nani? Use your brain bro
 
Binafsi huyu Dr. Nashindwa kuelewa msimamo wake ni Upi na ana amini nini kwenye siasa za nchi hii, Kile ambacho alikiita Usaliti kwa kina mbowe kumuunga mkono lowassa ndo kilekile anachokofanya yeye saivi. Mfumo ambao yeye amekuwa akiukosoa kwa takribani miaka 10 saiv hatak ukoselewa ati kwa sababu watalii cjui blaa blaa hawatokuja.

Ningeendelea kumuuona bora kama asingeunga mkono juhudi instead angepambana Kukosoa mfumo wa kiutendaji ndani CDM ili wawe bora zaidi maana wakati wake alituaminisha wanazo Sera na mfumo imara wenye uwezo wa kuleta mabadiliko chanya.
 
mbona mnasumbuka na mtu mliyemwona hana thamaani wakati mko naye wakati mliyemkimbilia kawaacha kwenye mataa afadhali mtoke hadharani mumwombe radhi badala ya kukaa na kumtungia mambo ya uongo
 
Napata taabu kuelewa naomba msaada wenu, kuuliza si ujinga wakuu.

Hivi Slaa (Dr.) anaamini juu ya sera na itikadi gani? Maana alipokuwa CDM aliwasasha moto mkubwa kwa CCM, tena moto mkubwa haswaaaa. Aligombea Urais 2010 kupitia CDM hii ikimanisha haikuikubali CCM, Sera zake na itikadi yake, pia au hakumkubali JK.

Kwa vile 2015 alijiondoka chamani ilionesha pia hakumkubali EL, ni ni kweli alimtaja sana kama fisadi mkubwa na mtu asiyefaa.

Sasa yuko CCM alipo JK na EL kwa pamoja, pia kwenye sera na itikaidi ileile, contradiction!!!! am getting confused yaani CCM Enzi zile za 2005, 2010 hadi 2015 October alikuwa anapigania nini? na sasa anapigania nini?

Alihama CDM kwa vile EL aliingia CDM, yaani muda wote anapambana akiwa upinzani alipambana juu ya mtu? sio sera na itikadi? ila Slaa huyo huyo hahami CCM kwa EL kurejea CCM, nini kinamshikiria huko ambacho kilikosekana wakati EL anahamia CDM ili kumshikilia?

Namweshimu kwanza kama Padri pia mtu ambaye alichagiza mabadiliko ya sera kwa sura ya dhati, je heshima hii ni bubble balloon? Is he fake in out? why or why not? huyu jamaa anaamini nini kuhusu soasa za TZ?

Je huyu jamaa Slaa anawakilisha wanasiasa wengi TZ ama ni special case? Tunawaambia nini vijana wadogo wambao walishawishika na sera zake ambazo sasa nashindwa kuelewa ni aina ipi? ama ni chuki na watu ama mtu wala sio sera? au ni mapenzi na mtu wala sio sera na itikadi?

Nawasilisha, I just want to have insights of what this man is in terms of political understanding and his stand.
Dr. Slaa akikujibu na kusema kwamba alikuwa anatetea sera na itikadi za chama (CDM) nitaomba unibip. Dr.Slaa ni pandikizi la 'system' kwa sura ya kanisa. Mbona wako wengi.
 
On contrary nikimsoma kati ya mistari namuona akiwaeleza watawala jinsi wazungu wanavyoiona Tanzania kwa sasa, ya kwamba si salama tena. Kwa sababu watz sasa wamechoka kulalamika ndani kwa ndani, sasa wameamua kutoka nje kusudi dunia iujue uwelii. Hatuwezi kufa kijerumani na tai ati... Viongozi wenye upeo wangeyatazama maneno ya Dr. Slaa kwa engo tofauti.
Anayoyasema kwenye vyombo vya habari, je amethubutu kumweleza PM wa nchi anayoiwakilisha malalamiko yake? He was the one who benefitted from scandnavian countries when he was in opposition. Sasa hana ubavu kusema lolote sababu analamba matabishi yake. Ukweli utajulikana sababu hatuishi kwenye kisiwa. JF wanachama wake wapo dunia nzima. Scandnavian countries wamejaa sana na wanapost kwenye vyombo vyao. Ulaya wapo watoto ambao wazazi wao ni watanzania na mitaji yao imefungwa sababu ya uraia, wanaongea. Slaa akae kimya ale penshen yake aliyoitumikia miaka zaidi ya 40 ya kuyumbisha upinzani.
 
unajiwekea maneno ambayo hayapo, nani kasema na wapi kuwa slaa hana thamani? ni ujinga mtu akihoji kitu kuweka maneno yako ili kujibu swali, tena maneno ya kishamba. in shirt hakuna mtu asiye na thamani hata mmoja inclunding you

mbona mnasumbuka na mtu mliyemwona hana thamaani wakati mko naye wakati mliyemkimbilia kawaacha kwenye mataa afadhali mtoke hadharani mumwombe radhi badala ya kukaa na kumtungia mambo ya uongo
 
unajiwekea maneno ambayo hayapo, nani kasema na wapi kuwa slaa hana thamani? ni ujinga mtu akihoji kitu kuweka maneno yako ili kujibu swali, tena maneno ya kishamba. in shirt hakuna mtu asiye na thamani hata mmoja inclunding you
in shirt ndio kiingereza mnachofundishwa shule za kata
 
Napata taabu kuelewa naomba msaada wenu, kuuliza si ujinga wakuu.

Hivi Slaa (Dr.) anaamini juu ya sera na itikadi gani? Maana alipokuwa CDM aliwasasha moto mkubwa kwa CCM, tena moto mkubwa haswaaaa. Aligombea Urais 2010 kupitia CDM hii ikimanisha haikuikubali CCM, Sera zake na itikadi yake, pia au hakumkubali JK.

Kwa vile 2015 alijiondoka chamani ilionesha pia hakumkubali EL, ni ni kweli alimtaja sana kama fisadi mkubwa na mtu asiyefaa.

Sasa yuko CCM alipo JK na EL kwa pamoja, pia kwenye sera na itikaidi ileile, contradiction!!!! am getting confused yaani CCM Enzi zile za 2005, 2010 hadi 2015 October alikuwa anapigania nini? na sasa anapigania nini?

Alihama CDM kwa vile EL aliingia CDM, yaani muda wote anapambana akiwa upinzani alipambana juu ya mtu? sio sera na itikadi? ila Slaa huyo huyo hahami CCM kwa EL kurejea CCM, nini kinamshikiria huko ambacho kilikosekana wakati EL anahamia CDM ili kumshikilia?

Namweshimu kwanza kama Padri pia mtu ambaye alichagiza mabadiliko ya sera kwa sura ya dhati, je heshima hii ni bubble balloon? Is he fake in out? why or why not? huyu jamaa anaamini nini kuhusu soasa za TZ?

Je huyu jamaa Slaa anawakilisha wanasiasa wengi TZ ama ni special case? Tunawaambia nini vijana wadogo wambao walishawishika na sera zake ambazo sasa nashindwa kuelewa ni aina ipi? ama ni chuki na watu ama mtu wala sio sera? au ni mapenzi na mtu wala sio sera na itikadi?

Nawasilisha, I just want to have insights of what this man is in terms of political understanding and his stand.
Waliompokea asyetakiwa na wakampa haraka haraka ugombea urais ambaye baadaye alikujawachia manyoya hao ndiyo wasaliti.
 
Unachanganya mada, ungeanzisha tu uzi kuhusu hilo suala lako, maana huu uzi unamwagazia slaa, maana kama EL ni mwizi labda wewe huna akili za kutosha, maana akili ya kawaida mwizi hufikishwa mahakamani, pia iwapo ishu ni ujio wa EL CDM mbona sasa haondoki CCM ambako EL kapiga ujio tena?
Akikujibu hilo naomba unitag mkuu
 
mbona mnasumbuka na mtu mliyemwona hana thamaani wakati mko naye wakati mliyemkimbilia kawaacha kwenye mataa afadhali mtoke hadharani mumwombe radhi badala ya kukaa na kumtungia mambo ya uongo
Kwa utumbo huu unaweza kulipwa buku saba kweli?

Hebu jaribu kusoma tena ulichoandika.
 
Alikuwa upande wenu wala hamkumsikiliza, mwisho wa siku mlisaliti nguvu, kazi, kujitoa, (imagine alivunjwa mpaka mkono) na mwisho kabisa maono yake. Wasiokuwa upande wake wakamkumbuka. Mwisho wa siku unategemea ampende na kumtumikia nani? Use your brain bro
Hakuna lolote maamuzi yote yalifanywa na Jose yeye alikuwa anapokea amri tu,kulia geuka nk.
 
We need to vote, nenda pale juu kwenye heading ya uzi huu, piga kura tujue how you take this man for
 
Napata taabu kuelewa naomba msaada wenu, kuuliza si ujinga wakuu.

Hivi Slaa (Dr.) anaamini juu ya sera na itikadi gani? Maana alipokuwa CDM aliwasasha moto mkubwa kwa CCM, tena moto mkubwa haswaaaa. Aligombea Urais 2010 kupitia CDM hii ikimanisha haikuikubali CCM, Sera zake na itikadi yake, pia au hakumkubali JK.

Kwa vile 2015 alijiondoka chamani ilionesha pia hakumkubali EL, ni ni kweli alimtaja sana kama fisadi mkubwa na mtu asiyefaa.

Sasa yuko CCM alipo JK na EL kwa pamoja, pia kwenye sera na itikaidi ileile, contradiction!!!! am getting confused yaani CCM Enzi zile za 2005, 2010 hadi 2015 October alikuwa anapigania nini? na sasa anapigania nini?

Alihama CDM kwa vile EL aliingia CDM, yaani muda wote anapambana akiwa upinzani alipambana juu ya mtu? sio sera na itikadi? ila Slaa huyo huyo hahami CCM kwa EL kurejea CCM, nini kinamshikiria huko ambacho kilikosekana wakati EL anahamia CDM ili kumshikilia?

Namweshimu kwanza kama Padri pia mtu ambaye alichagiza mabadiliko ya sera kwa sura ya dhati, je heshima hii ni bubble balloon? Is he fake in out? why or why not? huyu jamaa anaamini nini kuhusu soasa za TZ?

Je huyu jamaa Slaa anawakilisha wanasiasa wengi TZ ama ni special case? Tunawaambia nini vijana wadogo wambao walishawishika na sera zake ambazo sasa nashindwa kuelewa ni aina ipi? ama ni chuki na watu ama mtu wala sio sera? au ni mapenzi na mtu wala sio sera na itikadi?

Nawasilisha, I just want to have insights of what this man is in terms of political understanding and his stand.
Alihama CDM kwa vile EL aliingia CDM, yaani muda wote anapambana akiwa upinzani alipambana juu ya mtu? sio sera na itikadi? ila Slaa huyo huyo hahami CCM kwa EL kurejea CCM, nini kinamshikiria huko ambacho kilikosekana wakati EL anahamia CDM ili kumshikilia?
 
Back
Top Bottom