Slaa amwangukia Mchungaji Gwajima

Slaa amwangukia Mchungaji Gwajima

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
attachment.php


My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
 

Attachments

  • DSC00025.jpg
    DSC00025.jpg
    45.4 KB · Views: 16,629
Ka Kimada wake alivyosema kwa fuba la pesa walilonalo watafungua biashara kubwa na mashule....siasa ishamlipa.
 
Kanisa na lenyewe linatakiwa kukaa chini na kutafakari.Limekumbwa na kashfa nyingi sana siku za karibuni kitu ambacho kama kanisa la Mungu halitakiwi kuwa nacho.Hawa maaskofu wamekuwa wakipokea fedha kutoka kwa watu ambao si waaminifu.Hapa waumini tuwaeleweje?.Huyu Gwajima ni mfanyabiashara tu hakuna Gospel hapo.
 
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.

haa haa mwaka huu mtajiju tu....
 
Last edited by a moderator:
SLAA namwangalia kwa angle nyingi
ila angle nyingine anareflect ile tabia ya watanzania wengi kuwa na papara, na kushidwa kumalizia vitu tulivyo vianzisha, na kukata tamaa, na hii ipo hata kwa vijana, wanashidwa kumalizia masomo, kazi, mipango ya maisha kwa tamaa na papara, kwenye hili slaa alifanya papara sana, hata kama ni mke kamlainisha lakini angetumia akili ya kuzaliwa kukwepa kiunzi, ila kaingia kichwa kichwa mbaya..
naskia ana mahijiano na tido, ningekuwa ni tido mhando slaa angekimbia studio, ningemchapa maswali na facts mpaka apate kiharusi
 
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.

utahangaika sana mwaka huu bibi yangu. tulia sindano ziingie...acha kubana makalio!
 
Last edited by a moderator:
Kanisa na lenyewe linatakiwa kukaa chini na kutafakari.Limekumbwa na kashfa nyingi sana siku za karibuni kitu ambacho kama kanisa la Mungu halitakiwi kuwa nacho.Hawa maaskofu wamekuwa wakipokea fedha kutoka kwa watu ambao si waaminifu.Hapa waumini tuwaeleweje?.Huyu Gwajima ni mfanyabiashara tu hakuna Gospel hapo.

Waumini wake dah!!!!!!
 
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.
Udadisi tu, hivi kwa nini hujidai kuupenda uislamu alafu unashabikia chama kilicho uangamiza uislamu tanzania.
nisiandike sana nipate ban..la " wanafki watawekwa daraja la chini kabisa la moto"
 
SLAA namwangalia kwa angle nyingi
ila angle nyingine anareflect ile tabia ya watanzania wengi kuwa na papara, na kushidwa kumalizia vitu tulivyo vianzisha, na kukata tamaa, na hii ipo hata kwa vijana, wanashidwa kumalizia masomo, kazi, mipango ya maisha kwa tamaa na papara, kwenye hili slaa alifanya papara sana, hata kama ni mke kamlainisha lakini angetumia akili ya kuzaliwa kukwepa kiunzi, ila kaingia kichwa kichwa mbaya..
naskia ana mahijiano na tido, ningekuwa ni tido mhando slaa angekimbia studio, ningemchapa maswali na facts mpaka apate kiharusi

Dah! you have said it all. Umemaliza mkuu.
 
SLAA namwangalia kwa angle nyingi
ila angle nyingine anareflect ile tabia ya watanzania wengi kuwa na papara, na kushidwa kumalizia vitu tulivyo vianzisha, na kukata tamaa, na hii ipo hata kwa vijana, wanashidwa kumalizia masomo, kazi, mipango ya maisha kwa tamaa na papara, kwenye hili slaa alifanya papara sana, hata kama ni mke kamlainisha lakini angetumia akili ya kuzaliwa kukwepa kiunzi, ila kaingia kichwa kichwa mbaya..
naskia ana mahijiano na tido, ningekuwa ni tido mhando slaa angekimbia studio, ningemchapa maswali na facts mpaka apate kiharusi

Azam 2 mbona ni katuni tu saa tatu ishapita?!
 
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.

Sasa Sijajua Utapiga Wapi Kura Yako Mana Kwako Wameweka Mkatoliki Huku Kwetu Wametuwekea Mluther Na We Mdini Mwenzangu Inakubidi Umpigie Chifu Wa Adc Mana Ye Ni Hafdhul' Quran Ili Katiba Mpya Iwe Msahafu
 
Last edited by a moderator:
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.

Maajabu sana FaizaFoxy leo unamtetea Dk mihogo!

Kiukweli amepotoka sana na ukimwangalia kwa makini akiongea unaona kuna dalili anajutia kwa aliyoyafanya!
 
Last edited by a moderator:
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?

Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?

Haiingii akilini hata chembe.

"Pale alipo Dr.W.Slaa ana mapepo mara saba baada ya kuacha upadre" by Mwigulu Nchemba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom