Skype ya nini kwenye simu ndugu. vitu vingene una jaza simu tu bila sababu afu mwisho unafungua thread simu inazngua mara virus kumbe ni mizigo siyo na sababu. skype n mtando mkubwa saaana na ili kutumia lazima uwe na stable internet ndio una wez kumake kall na mpaka sasa sija ona Nokia asha yenye 3G sasa we una hangaika na video call ya kazi gani wakati hiyo simu hata rare camera hamna. jaribu kutumia social kama facebook video call ni rahisi na inatumia hata net afifu kidogo jarbu hangout pia ni nzuri. atleast ntaona umefanya kitu na hizi zote ni nzuri kweny laptop au desktop kwa simu una onea tu japo sipo application za simu ila kibongo bongo huwezi enjoy vilivyo koz ya internet. so usimind ni wazo langu tu nime share na wewe u can tke it o liv t