Mpendwa Sizonje, Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti japo yenyewe nayo ni taaluma. Siasa haitakiwi ichanganywe kwenye taaluma nyingine. Hebu angalia:-
1. Kwenye mechi yako na sukari ulipigwa 3-0
2. Kwenye mechi yako dhidi ya wazee wa bandari ulipigwa 3-0
3. Kwenye mechi yako dhidi ya earthquake fc ulipigwa 3-0
4. Kwenye mechi ya jana dhidi ya Zika fc umepigwa tena 3-0
Haya ni matokeo ya kuchanganya siasa na utaalamu...yaani ni sawa na kupata mizuka ya kucheza reggae kwenye Blues.
1. Kwenye mechi yako na sukari ulipigwa 3-0
2. Kwenye mechi yako dhidi ya wazee wa bandari ulipigwa 3-0
3. Kwenye mechi yako dhidi ya earthquake fc ulipigwa 3-0
4. Kwenye mechi ya jana dhidi ya Zika fc umepigwa tena 3-0
Haya ni matokeo ya kuchanganya siasa na utaalamu...yaani ni sawa na kupata mizuka ya kucheza reggae kwenye Blues.