Sizonje usicheze reggae kwenye blues, unakosea..!!

Kilityme

JF-Expert Member
Aug 13, 2015
218
574
Mpendwa Sizonje, Siasa na taaluma ni vitu viwili tofauti japo yenyewe nayo ni taaluma. Siasa haitakiwi ichanganywe kwenye taaluma nyingine. Hebu angalia:-
1. Kwenye mechi yako na sukari ulipigwa 3-0
2. Kwenye mechi yako dhidi ya wazee wa bandari ulipigwa 3-0
3. Kwenye mechi yako dhidi ya earthquake fc ulipigwa 3-0
4. Kwenye mechi ya jana dhidi ya Zika fc umepigwa tena 3-0

Haya ni matokeo ya kuchanganya siasa na utaalamu...yaani ni sawa na kupata mizuka ya kucheza reggae kwenye Blues.
 
Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani.
 
Tatizo Sizonje anapiga [HASHTAG]#mataputapu[/HASHTAG] kabla ya mechi.
Amekuwa mbishi, hashauriki, mjuaji, mkurupukaji, hana utu......
[HASHTAG]#mataputapu[/HASHTAG] mabaya jamani
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
umeyaona matokeo ya mechi hapo juu lakini?
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringbackBenyalive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Justice4Lema[/HASHTAG]
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you

Haya kachukue buku tano
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
1482058705988.jpg
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
mkuu,hio barabara ya mtwara to bukoba inapitia mikoa ipi?
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
Umeishiwa cha kuposit unawapa nguvu ya hoja wenzio unakopi na kupesiti kila posit... Fanya vitu vipya unaniangusha
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
Kutofautiana kiitikadi, kisiasa, kidini, kimaarifa nk ni afya kwa taifa lolote duniani. Angalia huko mnakotembeza bakuli hawaabudu chama kama mnavyoaminishwa hapa na Ccm!

Fungua kichwa chako usibaki ndani ya box
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom