Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?

Server yenyewe tu JF haipo Tanzania ipo Marekani, hivi watu wanaishi Marekani uwaambie FBI eti wawakamate kwa freedom of speech? Huu ni umajinuni.
Sisi ni Mabingwa wa kukurupuka!
 
Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?

Server yenyewe tu JF haipo Tanzania ipo Marekani, hivi watu wanaishi Marekani uwaambie FBI eti wawakamate kwa freedom of speech? Huu ni umajinuni.
Mkuu ile ni biashara ya mali kwa mali, yule mmbunge wa darasa la saba ambae ni professor katika ulimwengu mwingine, anapata wateja mle mle mjengoni hasa wakati wa uchaguzi.
 
Kama ni Sizonje ni kocha basi atakuwa ni DAVID MOYES.

Jamaa anauwezo mdogo sana kuliko hata KIKWETE. Tumelamba galasa asee
 
Mkuu ile ni biashara ya mali kwa mali, yule mmbunge wa darasa la saba ambae ni professor katika ulimwengu mwingine, anapata wateja mle mle mjengoni hasa wakati wa uchaguzi.
Makubwa, kuna mambo huwa yanatokea Tanzania tu.

Kwakweli nawadharau wananchi wanaokaa majimbo ya wabunge wa hivyo hasa wagogo wa Mtera hawa kichwani hamna kitu ni bure kabisa.
 
Hahahahahahahaha, sizonjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aaaäaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anateleza paleeee, mashabiki waliiinuka kutaka kushangiria, naona bench la ufundi linaendabkumganga kidogo....

Huku wachezaji wengine wanaomba maji ya kunywa kidogo walegeze koo, timu imezidiwa sana dakika ni 15 kipindi cha kwanza, hali ni mbaya maji yakunywa hamna wamepewa glukozi wakazie na mate, ...........
 
SIZONJE sijui anapeleka wapi nchi.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,

Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,

Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
 
Makubwa, kuna mambo huwa yanatokea Tanzania tu.

Kwakweli nawadharau wananchi wanaokaa majimbo ya wabunge wa hivyo hasa wagogo wa Mtera hawa kichwani hamna kitu ni bure kabisa.

Wewe una madharau tu.
Wananchi wa mtera sio wote waliopiga kura, mbwiga wewe.
 
SIZONJE sijui anapeleka wapi nchi.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Hapana hayo mnamsingizia. Yeye ni Mungu! basi! Alpha na Omega
 

Ni wapuuzi sana hawa, hii nchi imejaa wanafiki sana, angalia majina ya kinafiki anayopewa raisi, nyie ndio mtasababisha hii forum ifungiwe, endeleeni kumchafua chafua, mwenzenu kafungwa kisa ameota, kufungiwa hii ni issue ndogo sana
 
Sizonjeee...

Hajui kuwa"individual savings is collectively harmful in economic growth"

Hii siyo nchi ya kukaa watu,hii ni Nchi ya viwanda sijui mnasubiri nini kuhamia nchi ya jirani

Hapa ni viwanda tu.....
 
Ni wapuuzi sana hawa, hii nchi imejaa wanafiki sana, angalia majina ya kinafiki anayopewa raisi, nyie ndio mtasababisha hii forum ifungiwe, endeleeni kumchafua chafua, mwenzenu kafungwa kisa ameota, kufungiwa hii ni issue ndogo sana
Afungie tu kwani kitu gani. Angefunga tusichimbe makaburi mizoga itazagaa ile neno, aifunge jf hakuna tatizo akipita yakwake yameisha
 
Sizonje bado nina imani n.a. wewe ila huku kwenye uchumi mambo si shwariii bado unamda wa kufanya vizuri mafuta yakawa asali tafuta watalamu as uchumi kaa nao meza moja uone
 
Sizonje kazi anayoiweza ni kuokota mipira tuu.....hii kazi ya ukocha haiwezi kabisa.
 
Sizonje bado nina imani n.a. wewe ila huku kwenye uchumi mambo si shwariii bado unamda wa kufanya vizuri mafuta yakawa asali tafuta watalamu as uchumi kaa nao meza moja uone
wakimshauri kinyume anawafuta kazi,wanatakiwa wafate anavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…