Sisi ni Mabingwa wa kukurupuka!Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?
Server yenyewe tu JF haipo Tanzania ipo Marekani, hivi watu wanaishi Marekani uwaambie FBI eti wawakamate kwa freedom of speech? Huu ni umajinuni.
Mkuu ile ni biashara ya mali kwa mali, yule mmbunge wa darasa la saba ambae ni professor katika ulimwengu mwingine, anapata wateja mle mle mjengoni hasa wakati wa uchaguzi.Shida ya kuruhusu darasa la saba nao wawe wabunge ndio hii, mtu kama kibajaj ana akili gani?
Server yenyewe tu JF haipo Tanzania ipo Marekani, hivi watu wanaishi Marekani uwaambie FBI eti wawakamate kwa freedom of speech? Huu ni umajinuni.
Kama ni Sizonje ni kocha basi atakuwa ni DAVID MOYES.Mpendwa Sizonje habari za siku.... natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti...
Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha!! Kwamba kocha wa timu yetu hawezi... kocha mzembe na anafuga uvundo....
Kadiri tulipokutana kila baada ya sentensi tatu lazima umseme kocha kila siku ikawa hamkani si shwari!!
Sizonje utakumbuka kocha alikuvumilia sana japokuwa ulikua huwezi!! Mdomo na maneno mengi yalikubeba kwa mashabiki lakini wachezaji wenzio walikujua!! Ulikua bingwa wa kukariri tarakimu za mchezo bila ujuzi na weledi wa mchezo!! Hata kocha alipoonywa sana juu ya kiwango chako kibovu bado alikubeba ingawa ulimsogoa!!
Hayawi hayawi yakawa Sizonje!! Kauli zako zikalipa!! Kocha akastaafu na ukocha ukapewa wewe!! Kila mtu ndani ya timu akiduwaa mashabiki waliolewa kauli zako tamu ziso kifani walikubeba hatimaye ukawa kocha!!
Awali ulionesha uwezo wa kukonga mashabiki kwa sifa na vitimbi kemkem!! Siku zikasonga mashabiki wakaona timu inarejea nyuma kuliko ilikokuwa kwa kocha mzembe!!
Nakujua Sizonje!! Hupendi kukosolewa na wala hupendi kimya cha sifa!! Vigelegele vya mashabiki na vifijo vimekoma!! Mbinu zote za michezo ulizotumia zimebuma!! Timu inarudi nyuma kwa kasi na wachezaji wameshapoteza mori!! Kila ugusapo sasa hapagusiki!! Wachezaji wanaonesha ari machoni pako tu lakini uwanjani wamedorora!!
Sizonje usichanganyikiwe... mambo bado ndio kwanza safari inaanza!! Ishike ngao na kigao kuyahimili majira!!!
Kwa leo naishia hapa Sizonje nikija mjini ntakutembelea tule maboga ya enzi zetu.
Jamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Makubwa, kuna mambo huwa yanatokea Tanzania tu.Mkuu ile ni biashara ya mali kwa mali, yule mmbunge wa darasa la saba ambae ni professor katika ulimwengu mwingine, anapata wateja mle mle mjengoni hasa wakati wa uchaguzi.
Hahahahahahahaha, sizonjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aaaäaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anateleza paleeee, mashabiki waliiinuka kutaka kushangiria, naona bench la ufundi linaendabkumganga kidogo....Sizonjeee uyuoooo anakwenda na mpira ...anampiga chenga matata vasco ..huku winga wa timu maembee akiambilia kanzu ..huyoooo huyooo sizonje katuliza kwenye upara ......kampiga kanzu eduardo ndani ya kumi na nane kaachia shuti matata sana na inakuwa ni gooooooooooooooli ayaaa kapaisha
Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,SIZONJE sijui anapeleka wapi nchi.....
Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......
Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......
Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Sitaki tena pombe ooooh mami eeeehh...sitaki nakataa....ni POMBEJamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Makubwa, kuna mambo huwa yanatokea Tanzania tu.
Kwakweli nawadharau wananchi wanaokaa majimbo ya wabunge wa hivyo hasa wagogo wa Mtera hawa kichwani hamna kitu ni bure kabisa.
Hapana hayo mnamsingizia. Yeye ni Mungu! basi! Alpha na OmegaSIZONJE sijui anapeleka wapi nchi.....
Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......
Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......
Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,
Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,
Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
Hivi ni kwa nini hakuna ombaomba wamasai? Ni wagogo tu kuombaomba, tena bora serikali iwafuate hukohuko Dodoma mtuache tupumuwe.Wewe una madharau tu.
Wananchi wa mtera sio wote waliopiga kura, mbwiga wewe.
Afungie tu kwani kitu gani. Angefunga tusichimbe makaburi mizoga itazagaa ile neno, aifunge jf hakuna tatizo akipita yakwake yameishaNi wapuuzi sana hawa, hii nchi imejaa wanafiki sana, angalia majina ya kinafiki anayopewa raisi, nyie ndio mtasababisha hii forum ifungiwe, endeleeni kumchafua chafua, mwenzenu kafungwa kisa ameota, kufungiwa hii ni issue ndogo sana
Nimechekajesizonje alikuwa anasema nchi hii tajiri,ona sasa mapato ya nchi yanakata roho,
mipango ya maendeleo ya uchumi kwenye halmashauri imekuwa "hewa"
Masai hawezi kuwa ombaombaaHivi ni kwa nini hakuna ombaomba wamasai? Ni wagogo tu kuombaomba, tena bora serikali iwafuate hukohuko Dodoma mtuache tupumuwe.
Jifunze kujuwa sample huwa inachukuliwa kwa percent ngapi?
wakimshauri kinyume anawafuta kazi,wanatakiwa wafate anavyotakaSizonje bado nina imani n.a. wewe ila huku kwenye uchumi mambo si shwariii bado unamda wa kufanya vizuri mafuta yakawa asali tafuta watalamu as uchumi kaa nao meza moja uone