Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje ndiye nani?
 
SIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Pogba naye ni nani?
 
Mpira ni rahisi sana kuuchezea nje,unaona makosa yote,
 
is creator chaos, not chaos solver

The majority of Tanzanian people say the agenda of....... is to create chaos and worsen issues day by day
 
kama imesemwa na TRA hawaikanushi na mbaya zaidi wananchi hawasomewi tena mapato ya kila mwezi kwanini tusiamini ni kweli?
Kweli hii kitu ya kusomewa mapato yetu sijui imeota mbawa...nakumbuka mtu mmoja alinimbia hii kusomewa mapato ni kiki ya kuvuta sapoti ya raia baada ya hapo itapotea.....
 
Kweli hii kitu ya kusomewa mapato yetu sijui imeota mbawa...nakumbuka mtu mmoja alinimbia hii kusomewa mapato ni kiki ya kuvuta sapoti ya raia baada ya hapo itapotea.....
mapato yameshuka wanaona serikali itaonekana imeshindwa kukusanya mapato hivyo haitangazwi tena.
 
sisi huku kwetu tunamuita mami (mjomba)7m sina lakini natamani kusema kitu bora niishie kuguna tu mhuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Ukinunua dai risiti ...teh teh teh!! Sizonje atapata laana ya waathirika wa tetemeko
Sizonje alisema kuna wapiga dili walikuwa wanalipisha kiingilio mlangoni ila hela haionekani..mashabiki wanajaa uwanjani lakini hela hazionekani.....sa sijui kama ni kweli make kocha huyu ana tabia ya uwongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…