RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
View attachment 46002
Mnaikumbuka hii wakuu - enzi hizo either English medium schools zilikuwa chache sana au hakuna kabisa; ilikuwa lazima uipitie hadithi ya sungura mjanja.
Kitambo sana mkuu. Kuna na ile safari ya kuelekea dar kwa mjomba kipindi cha likizo kiongozi.
Siku hizi hawasomi hivyo.