johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,035
Nyakati Hizi za kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu ndio huwaga tunashuhudia mbwembwe na Vibweka lukuki kutoka kwa Mawaziri wetu huku wakishadadiwa na Mapambio ya CHAWA.
Nyakati Hizi ndio ile safari ya Monduli ilikuwa motomoto.
Mko Wapi Mawaziri wetu Vijana wadogo wadogo mbona kimya sana?
Nyakati Hizi ndio ile safari ya Monduli ilikuwa motomoto.
Mko Wapi Mawaziri wetu Vijana wadogo wadogo mbona kimya sana?