Siyo wote wanastahili wema wako

Kandambili1

JF-Expert Member
Jul 21, 2022
425
1,124
Habari wakuu...nimeona story ya kijana akielezea wema ulivyotaka umponze eneo la kazi

1. INTRODUCTION: SHAVU In 2015
mwishoni nikiwa 3rd year nlipata shavu mahala in a private company.

So i started as a volunteer after 5 months nikawa sidelined for an interview and mostly walioapply walikua ni waliokwisha graduate unlike me. So the day ambayo we were suppose to sit for an interview nikaitwa and on my surprise nikapewa mkataba wa muda mfupi.

(In a few mins, you'll see why I shared this part of the story). Ilikuwa ni shavu, bse nilikuwa naishi maisha ya kazi na chuo pamoja. 1st month in my employment mambo yalikua fresh tu ila 1st month akaletwa mdada mgeni. We were later informed that she was a volunteer

so tukampokea vizuri na induction program ikaanza and she was supposed to be reporting kwangu.

2. LIFE WITH "THE VOLUNTEER"

Maisha yetu ya kazi na bibie yalikuwa poa tu. And as someone who was once a rookie too,i was trying my best to make her feel welcomed and comfortable bse

hata mimi wakati nafika nilikua simfahamu mtu yeyote but these new strangers treated me like their own so nilijifunza hiki pia. One thing about being a volunteer au intern kuna some areas unakosa access so unabaki kupangiwa activities zingine (company policy issues).

3. UGONJWA USIOJULIKANA
Kuna siku nlikua na test chuo, ila nilikuwa naumwa vibaya sana na najiona sipo sawa, nlivyotoka nikaenda hospital ya jirani na nikaambiwa sina tatizo lolote labda uchovu tu.Nikiwa hospital the lady wa ofisini akanipigia kuomba ruhusa aende kwao kwa kuwa ana dharura, nkamkubalia na mimi pia nilivyotoka hospitali, nkarudi home kulala.
 
Tuendelee

4: 1st Week - KICHWA

The next morning kichwa hakinyanyuki. I couldn't get off the bed kabisa. The only way was nikishike kichwa ndio ninyanyuke. Nkaomba ruhusa nkatafuta dawa za kichwa nkalala. Kufika jioni it was worse. Nkarudi hospital, still hawaoni kitu. Nkalala for three days bila kwenda kazini naskilizia tu. Week one ikakata.

5: 2nd Week - MACHO

Hii week mambo yakabadilika zaidi. This time nikawa siwezi kumove kabisa kwa sababu kichwa kimekua kizito mno. Imagine, nilikuwa siwezi kutembea vizuri mpaka nikipe support ya mikono kichwa (sijui unanielewa?).Ikabidi nirudi nyumbani (because I was living alone) kwa ajili ya uangalizi wa karibu. Ilifika hatua, siwezi kuangalia mwanga.Mwanzoni ulikua mwanga wa jua kali but later hata simu sikuweka itizama. Nlikua naumia mno .Nkapelekwa hospitali ya macho and daktari akakiri kweli nina shida ya kuona mbali LAKINI hizi dalili nilizonazo hazihusiani kabisaaaaaaa. Tukarudi home tena hopeless.

At this point nilikua nikitembea lazima mtu anishike mkono mmoja na lazima macho niyafumbe na mkono mwingine nishike kichwa changu. It was really painful. Tukaenda TMJ na Muhimbili for CT scan bado results came out sina tatizo lolote kabisa. This isn't funny but mara yangu ya kwanza kufika Muhimbili na TMJ nilifika nikiwa sioni kitu (like I ddnt see anything nlikua naambiwa tu hapa tuko TMJ na hapa tupo MNH).
 
Tumalizie

6. 3rd & 4th WEEKS - LIFE IN A BED
Mwezi ukakatika na maisha yangu yakawa ni kitandani nkiamka nakula chakula, 5 mins later natapika .....narudi kulala. This went on for around 3 weeks mfululizo. My family never gave up tukawa tunaendelea kwenda hospitali na hospitali bila mafanikio. At this point I wasn't aware nini kinaendelea kwenye maisha yangu.

7. A CALL OF FAITH FROM IRINGA

After almost 70 days (from 22nd April to 01st July-AND YES SITASAHAU HIZI TAREHE) za mateso na mahangaiko ya hospitali nikapokea simu
asubuhi moja and bse nlikua sioni anaepiga nlikua nasikikiza tu flow ya mazungumzo. This guy alijitambulisha kuwa ni mchungaji and he asked swali moja tu. 'Unaamini?", i said yes. Akaanza kuomba through that phone call.

To be honest hata nlikua sijui kinachoendelea bse at this
point of life nlikua mtu wa kusinzia sana kwa sababu that was the only way ya mimi kuyakimbia maumivu so ukiwa unaniongelesha ikizidi one minute utajikuta unaongea mwenyewe mie nmeshazima zamani. So he prayed mie kama kawaida nkaanza sinzia maana alitumia zaidi ya dakika 10.

And when he said 'Amina' nlishtuka sana. I OPENED MY EYES NA KICHWA KILIKOMA HAPO HAPO We both had our point where we've seen ukuu wa Mungu in a close contact but this kwangu ilikua kitu kingine aseeee.

Mind you, at this point sijaenda kazini wala chuo for two months na nlikua third year so wenzangu washaanza hesabu siku mie niko kitandani bado na kwa sababu simu zilizimika hapa katikati ina maana no one knew where i was.

muhimu ilikua kila tukitoka hospitali nawaambia walezi wangu wa'scan majibu watume ofisini bhasi. Hata simu ya mchungaji ilipigwa through my aunts phone. After maombi, nikaamka nikaoga nikanywa chai na sikutapika tena yaani i came back to life (yes, bse those 2 months felt
like death to me).

Aseee hiki kipindi pia niligundua uzima tunauchukulia poa sana bse ukitoka kuteseka ndio unajua kuwa uzima huwa raha sana (its the same feeling na ukienda mazishini, unawaza mema tu wakati huokesho yake asubuhi bhana mambo yakarudi kwenye default mode
Kichwa macho pale pale. Nkashindwa kutoka kitandani at all. But one thing i felt nikiwa kwenye hii hali is that: nlikua naumwa sana and very weak ila ndani ya nafsi yangu nlikua mzima kabisa. Yaani nilikua najiona nina nguvu mno but when i want to move mwili unanikatalia

lakini deep inside nilikua mzima. Sijui umenielewa? Kuna ile hata we unaona umedhoofika in and out ila this was different. Bse I couldn't move, as usual, wakanifuata wakanibeba nkawaomba wampigie yule mchungaji tena.

They called him akaniombea pale pale. NIKAPONA. Vita ndio ikaanza rasmi hapa! (IT GETS DEEPER THAN THIS). Mchungaji advised nisafiri hadi Iringa akaniombee huko huko. I didn't think twice nkaenda Ubungo nkakuta kuna bus ya Mbeya saa sita mchana

(hii iliandaliwa kwa ajili ya ukombozi wangu bse hakuna gari inaenda safari ya kilomita 800+ kuanzia saa sita mchana. Lucky me). Nkasafiri sikujua kinachoendelea nlikuja shtuka tunateremka Kitonga and mind you wakati wote wa safari kichwa hakikua kinauma wala macho.

Nlikua mzima kabisa sema kwa sababu mwili ulishazoea kulala lala nikawa nmesinzia.

8. REDEMPT-ED Nilifika Iringa salama na jioni nlikula chakula na kupiga story vizuri kabisa,Nikalala. Ilipofika asubuhi hali ikawa mbaya zaidi ya siku zote nlizowahi kuumwa.

Sikuwa naweza kusogeza hata mkono. Wakaja nibeba watu kunipeleka sebleni nimuone mchungaji. Hii siku nilitoa machozi ya kukata tamaa Because never in my life nilijua ntafikia hatua ya kubebwa na watu at my mid 20's. Unaona kabisa uko sawa but mwili haurespond.

So nkapelekwa sebleni wakaanza maombi. Mie as usual nkasinzia. Walivyomaliza nikaamka wakasema vita ndio imeanza sasa tujiandae kupigana. Bhasi my life in Iringa was kulala-kuamka-chai-maombi-kulala-lunch-then kanisani.



For two weeks. Nikaanza kupona taratibu macho yakafunguka kabisa na shingo na kichwa vinaanza kuachia. Nikaanza pia kuchat na watu ambao hawakujua niko wapi.

9. NDOTO ZA BINTI MZURI I was now able to contact my closest circle including the girlfriend wa kipare. Sasa before I travelled back mchungaji akawa anaona kwenye ndoto kuna mdada (mweupe mnene mrefu). They asked if i am dating or have ever had an encounter na mtu wa aina hiyo,

i said hapana. Wakanibana sana nikawaambia hapana, bhasi mchungaji akasema tunakaribia kupata ushindi tusichoke kuomba.
Basi nikarudi dar, despite Hali yangu kuwa vile vile I was bored na Maisha ya kulala lala nyumbani, nikajikongona nikaenda ofisini the next week.

10. BACK TO THE OFFICE - DEATH HUGS Kufika ofisini kila mtu alikua ananishangaa bse i was very weak yaani nlikua natembea kwa msaada wa kuta za jengo. Bhasi nikakaa kwenye desk langu. Saa tatu akaja the lady volunteer akiwa amechelewa. She was really shocked kuniona but again akanichangamkia na kunikumbatia. Alivyoniachia tu nikaanza tetemeka and nikawa natoka jasho in a place full of AC's.

Bhasi my supervisor wakasema 'Boris bado haujapona vizuri, just go back home take a week rest jumatatu ijayo rudi ofisini'. Niliumia sana bse i thought this was over. Nikatoka pale kufika home nikapona. Nikachange nikaenda chuo huku nako nkakuta natafutwa sijulikani nilipo wenzangu wana three weeks to final exams mie sionekani. Nikaingia lecture nikaanza sinzia. Nkitoka nje kukaa canteen sisinzii. Nkirudi tu class

Nasinzia. Visited my supervisors wa research akanishauri niahirishe nirudi next year. Haya tuyaache sasa. Turudi kwenye week moja ya mapumziko. Nikiwa ghetto kwangu napumzika nlikua mzima kabisa na kupona kukaongezeka huku maombi kawa kawa. Mchungaji akawa ananiambia adui yupo

karibu tusiogope tunakaribia kupata ushindi. Bhasi Ijumaa ambayo the next monday ndio nirudi ofisini mchungaji called straight asking 'unamfahamu fulani bin fulani?'. I was shocked. Nikamwambia Yes. Akauliza if first day ile nliokua natetemeka alikwepo ofisini i said ndio.

Akasema bhasi she is the reason behind all these. Aseee sikuamini kabisa. Kwanza i was very disappointed. This is a person ambae nilimpokea kwa wema sana na at times (bse she wasn't employed hakua analipwa) i was covering her monthly lunch expenses bse naelewa kwenye maisha wengine hawajabarikiwa kuwa ulipo and this is what my wenyeji did to me nlipofika pale.

11. PILAU NA MIMI, MIMI NA PILAU
Pale ofisini(ila usisahau bado nadate na mpare) hakukua na sehemu ya chakula so kuna mdada alikua anatuletea msosi and she had a really good pilau.

Hadi leo sijala pilau kama lile. So ikawa nakula pilau Monday to Monday hadi nikawa nataniwa ofisini. So ikifika lunch time nitashuka chini kununua and go back kula. Ikafika mahala akawa ananizuia anasema nooo we una kazi sana ngoja nkakuchukulie.

Bhana weee nikawekewa vya kuwekewa kwenye pilau. Duniani kuna watu. Kumbe the lady ni one of the people walioitwa pia kwenye interview (refer to the beginning of the thread) ila when my recommendation passed nikapewa shavu mimi ye akakosa so akaja kwa njia nyingine ili anitoe

So mchungaji revealed everything alichoona kwenye ndoto and he went further saying wakati nafika Iringa I WAS ONLY FOUR DAYS AWAY from my demise (death). Yaani kama nisingeombewa mie ile week nlikua nafungiwa file. So nikaambiwa niendelee kuomba bse now that I've known her nijiandae kwa lolote bse in their world ameshajua nmejua (I don't know how this works ila husemekana ukimjua mchawi anakua anajua umeshamjua,

12. PIGA NIKUPIGE LIFE Jumatatu ikafika and i was at the office saa 11 kamili alfajiri. This day nlikua na hasira mnoooooo. I was very determined na sio kwamba nlikua nataka kumpiga physical, hapana. This is someone ambae sijawahi mfanyia kitu chochote kibaya apart from being a good coworker (although i should make clear that we weren't close as in urafiki, hata namba yake ya simu sikua nayo until when she called kuomba ruhusa and one incident aliniomba tutoke out usiku nikachomoa).

Bhasi she came late and as usual akashtuka kuniona tukasalimiana (hugged) tulipoachiana akaanguka. Nkamuingiza hall room nkafunga milango and i was there staring at her akilalamika tumbo kuuma. I gave her dawa nikamuombea na ruhusa arudi kwao but I couldn't let her leave the room

Baadae alivyokua sawa kidogo akawa ananiuliza nilikua naumwa nini and imekuaje hadi niko pale nikamjibu tu 'niko hapa kwa sababu ya Mungu'. Bhasi akajifanya kunipa pole akaondoka kwenda kwao. Maisha ya hapa yakawa ni maombi every after an hour I'd go to the washroom kumwambia Mungu 'deal with her bse mimi siwezi kitu'.

Nilikua nikikumbuka yale mateso bse of someone ambae umekua mwema kwake natamani nimsukume ghorofani akaangukie mwendokasi maana ndio kwanza ulikua umezinduliwa

Kesho akaja akaumwa tena akarudi kwao. Kwahokutwa the sane mwishowe akapotea mazima. She left. Although months later i left this office too bse of family concerns kwamba nmeshasimamisha shule i should go back home nipone completely kwanza.
Never heard of her wala sijawahi kutana nae miaka ile except this year June nkakutana nae sehemu akasema hanikumbuki Nyie .. And nikaambiwa huko anakofanya madude yake she is a queen (means haya matendo kwake ni issue ndogo sana).
 
Tumalizie

6. 3rd & 4th WEEKS - LIFE IN A BED
Mwezi ukakatika na maisha yangu yakawa ni kitandani nkiamka nakula chakula, 5 mins later natapika .....narudi kulala. This went on for around 3 weeks mfululizo. My family never gave up tukawa tunaendelea kwenda hospitali na hospitali bila mafanikio. At this point I wasn't aware nini kinaendelea kwenye maisha yangu.

7. A CALL OF FAITH FROM IRINGA

After almost 70 days (from 22nd April to 01st July-AND YES SITASAHAU HIZI TAREHE) za mateso na mahangaiko ya hospitali nikapokea simu
asubuhi moja and bse nlikua sioni anaepiga nlikua nasikikiza tu flow ya mazungumzo. This guy alijitambulisha kuwa ni mchungaji and he asked swali moja tu. 'Unaamini?", i said yes. Akaanza kuomba through that phone call.

To be honest hata nlikua sijui kinachoendelea bse at this
point of life nlikua mtu wa kusinzia sana kwa sababu that was the only way ya mimi kuyakimbia maumivu so ukiwa unaniongelesha ikizidi one minute utajikuta unaongea mwenyewe mie nmeshazima zamani. So he prayed mie kama kawaida nkaanza sinzia maana alitumia zaidi ya dakika 10.

And when he said 'Amina' nlishtuka sana. I OPENED MY EYES NA KICHWA KILIKOMA HAPO HAPO We both had our point where we've seen ukuu wa Mungu in a close contact but this kwangu ilikua kitu kingine aseeee.

Mind you, at this point sijaenda kazini wala chuo for two months na nlikua third year so wenzangu washaanza hesabu siku mie niko kitandani bado na kwa sababu simu zilizimika hapa katikati ina maana no one knew where i was.

muhimu ilikua kila tukitoka hospitali nawaambia walezi wangu wa'scan majibu watume ofisini bhasi. Hata simu ya mchungaji ilipigwa through my aunts phone. After maombi, nikaamka nikaoga nikanywa chai na sikutapika tena yaani i came back to life (yes, bse those 2 months felt
like death to me).

Aseee hiki kipindi pia niligundua uzima tunauchukulia poa sana bse ukitoka kuteseka ndio unajua kuwa uzima huwa raha sana (its the same feeling na ukienda mazishini, unawaza mema tu wakati huokesho yake asubuhi bhana mambo yakarudi kwenye default mode
Kichwa macho pale pale. Nkashindwa kutoka kitandani at all. But one thing i felt nikiwa kwenye hii hali is that: nlikua naumwa sana and very weak ila ndani ya nafsi yangu nlikua mzima kabisa. Yaani nilikua najiona nina nguvu mno but when i want to move mwili unanikatalia

lakini deep inside nilikua mzima. Sijui umenielewa? Kuna ile hata we unaona umedhoofika in and out ila this was different. Bse I couldn't move, as usual, wakanifuata wakanibeba nkawaomba wampigie yule mchungaji tena.

They called him akaniombea pale pale. NIKAPONA. Vita ndio ikaanza rasmi hapa! (IT GETS DEEPER THAN THIS). Mchungaji advised nisafiri hadi Iringa akaniombee huko huko. I didn't think twice nkaenda Ubungo nkakuta kuna bus ya Mbeya saa sita mchana

(hii iliandaliwa kwa ajili ya ukombozi wangu bse hakuna gari inaenda safari ya kilomita 800+ kuanzia saa sita mchana. Lucky me). Nkasafiri sikujua kinachoendelea nlikuja shtuka tunateremka Kitonga and mind you wakati wote wa safari kichwa hakikua kinauma wala macho.

Nlikua mzima kabisa sema kwa sababu mwili ulishazoea kulala lala nikawa nmesinzia.

8. REDEMPT-ED Nilifika Iringa salama na jioni nlikula chakula na kupiga story vizuri kabisa,Nikalala. Ilipofika asubuhi hali ikawa mbaya zaidi ya siku zote nlizowahi kuumwa.

Sikuwa naweza kusogeza hata mkono. Wakaja nibeba watu kunipeleka sebleni nimuone mchungaji. Hii siku nilitoa machozi ya kukata tamaa Because never in my life nilijua ntafikia hatua ya kubebwa na watu at my mid 20's. Unaona kabisa uko sawa but mwili haurespond.

So nkapelekwa sebleni wakaanza maombi. Mie as usual nkasinzia. Walivyomaliza nikaamka wakasema vita ndio imeanza sasa tujiandae kupigana. Bhasi my life in Iringa was kulala-kuamka-chai-maombi-kulala-lunch-then kanisani.



For two weeks. Nikaanza kupona taratibu macho yakafunguka kabisa na shingo na kichwa vinaanza kuachia. Nikaanza pia kuchat na watu ambao hawakujua niko wapi.

9. NDOTO ZA BINTI MZURI I was now able to contact my closest circle including the girlfriend wa kipare. Sasa before I travelled back mchungaji akawa anaona kwenye ndoto kuna mdada (mweupe mnene mrefu). They asked if i am dating or have ever had an encounter na mtu wa aina hiyo,

i said hapana. Wakanibana sana nikawaambia hapana, bhasi mchungaji akasema tunakaribia kupata ushindi tusichoke kuomba.
Basi nikarudi dar, despite Hali yangu kuwa vile vile I was bored na Maisha ya kulala lala nyumbani, nikajikongona nikaenda ofisini the next week.

10. BACK TO THE OFFICE - DEATH HUGS Kufika ofisini kila mtu alikua ananishangaa bse i was very weak yaani nlikua natembea kwa msaada wa kuta za jengo. Bhasi nikakaa kwenye desk langu. Saa tatu akaja the lady volunteer akiwa amechelewa. She was really shocked kuniona but again akanichangamkia na kunikumbatia. Alivyoniachia tu nikaanza tetemeka and nikawa natoka jasho in a place full of AC's.

Bhasi my supervisor wakasema 'Boris bado haujapona vizuri, just go back home take a week rest jumatatu ijayo rudi ofisini'. Niliumia sana bse i thought this was over. Nikatoka pale kufika home nikapona. Nikachange nikaenda chuo huku nako nkakuta natafutwa sijulikani nilipo wenzangu wana three weeks to final exams mie sionekani. Nikaingia lecture nikaanza sinzia. Nkitoka nje kukaa canteen sisinzii. Nkirudi tu class

Nasinzia. Visited my supervisors wa research akanishauri niahirishe nirudi next year. Haya tuyaache sasa. Turudi kwenye week moja ya mapumziko. Nikiwa ghetto kwangu napumzika nlikua mzima kabisa na kupona kukaongezeka huku maombi kawa kawa. Mchungaji akawa ananiambia adui yupo

karibu tusiogope tunakaribia kupata ushindi. Bhasi Ijumaa ambayo the next monday ndio nirudi ofisini mchungaji called straight asking 'unamfahamu fulani bin fulani?'. I was shocked. Nikamwambia Yes. Akauliza if first day ile nliokua natetemeka alikwepo ofisini i said ndio.

Akasema bhasi she is the reason behind all these. Aseee sikuamini kabisa. Kwanza i was very disappointed. This is a person ambae nilimpokea kwa wema sana na at times (bse she wasn't employed hakua analipwa) i was covering her monthly lunch expenses bse naelewa kwenye maisha wengine hawajabarikiwa kuwa ulipo and this is what my wenyeji did to me nlipofika pale.

11. PILAU NA MIMI, MIMI NA PILAU
Pale ofisini(ila usisahau bado nadate na mpare) hakukua na sehemu ya chakula so kuna mdada alikua anatuletea msosi and she had a really good pilau.

Hadi leo sijala pilau kama lile. So ikawa nakula pilau Monday to Monday hadi nikawa nataniwa ofisini. So ikifika lunch time nitashuka chini kununua and go back kula. Ikafika mahala akawa ananizuia anasema nooo we una kazi sana ngoja nkakuchukulie.

Bhana weee nikawekewa vya kuwekewa kwenye pilau. Duniani kuna watu. Kumbe the lady ni one of the people walioitwa pia kwenye interview (refer to the beginning of the thread) ila when my recommendation passed nikapewa shavu mimi ye akakosa so akaja kwa njia nyingine ili anitoe

So mchungaji revealed everything alichoona kwenye ndoto and he went further saying wakati nafika Iringa I WAS ONLY FOUR DAYS AWAY from my demise (death). Yaani kama nisingeombewa mie ile week nlikua nafungiwa file. So nikaambiwa niendelee kuomba bse now that I've known her nijiandae kwa lolote bse in their world ameshajua nmejua (I don't know how this works ila husemekana ukimjua mchawi anakua anajua umeshamjua,

12. PIGA NIKUPIGE LIFE Jumatatu ikafika and i was at the office saa 11 kamili alfajiri. This day nlikua na hasira mnoooooo. I was very determined na sio kwamba nlikua nataka kumpiga physical, hapana. This is someone ambae sijawahi mfanyia kitu chochote kibaya apart from being a good coworker (although i should make clear that we weren't close as in urafiki, hata namba yake ya simu sikua nayo until when she called kuomba ruhusa and one incident aliniomba tutoke out usiku nikachomoa).

Bhasi she came late and as usual akashtuka kuniona tukasalimiana (hugged) tulipoachiana akaanguka. Nkamuingiza hall room nkafunga milango and i was there staring at her akilalamika tumbo kuuma. I gave her dawa nikamuombea na ruhusa arudi kwao but I couldn't let her leave the room

Baadae alivyokua sawa kidogo akawa ananiuliza nilikua naumwa nini and imekuaje hadi niko pale nikamjibu tu 'niko hapa kwa sababu ya Mungu'. Bhasi akajifanya kunipa pole akaondoka kwenda kwao. Maisha ya hapa yakawa ni maombi every after an hour I'd go to the washroom kumwambia Mungu 'deal with her bse mimi siwezi kitu'.

Nilikua nikikumbuka yale mateso bse of someone ambae umekua mwema kwake natamani nimsukume ghorofani akaangukie mwendokasi maana ndio kwanza ulikua umezinduliwa

Kesho akaja akaumwa tena akarudi kwao. Kwahokutwa the sane mwishowe akapotea mazima. She left. Although months later i left this office too bse of family concerns kwamba nmeshasimamisha shule i should go back home nipone completely kwanza.
Never heard of her wala sijawahi kutana nae miaka ile except this year June nkakutana nae sehemu akasema hanikumbuki Nyie .. And nikaambiwa huko anakofanya madude yake she is a queen (means haya matendo kwake ni issue ndogo sana).
Sasa yote tisa. Uchawi upo au hakuna?
Cc. Bufa
 
Back
Top Bottom