Siyo Siri CHADEMA Imepata Jeraha

Siyo Siri CHADEMA Imepata Jeraha

Ni kweli usemacho. Tusitangulize ushabiki mbele katika hili. Think tanks wa chadema wakae chini na kutafuta namna ya kuvuka mtihani huu. Vinginevyo mpasuko na mmeguko utaendelea

Tangu zzk afurushwe cdm sasa mwaka wa pili na cdm ndio inazidi kupasua anga
 
Huyu nae!! angalia akiba ya vichwa vilivyopo cdm zzk ataleta madhara gani kwa kuondoka kwake? siri gani zaidi ya ilani?
 
Chadema kama taasisi imepata jeraha kubwa. Jeraha hili linahitaji tiba madhubuti ili lisikigharimu chama. Maana viongozi waliopo ACT wanajua siri zote za chadema. Walikuwa wanashiriki vikao vya ndani kabisa vya chama. Ni sawa na kuachana na mke/mume. Hakuna wa kujivuna. Bali akili lazima itulie ili kuendelea na maisha mapya. Na usipo kaa vema utaishia kunywa pombe au kufanya ukahaba kwa kuchanganyikiwa.

Na ndiyo maana kwa mnaofuatilia kinachoendelea ukumbi wa Diamond Jubilee. Kuna mwanadada muigizaji alipotupa dogo linaloilenga chadema ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe. Nitanikuu "kumpiga chura teke ni kumpunguzia safari".
Nimeipenda hii ndani yake kama ukisoma kwa umakini unaona kitu ndani yake chadema wajipange siyo utani ni jeraha kubwa sana.
 
Huyu nae!! angalia akiba ya vichwa vilivyopo cdm zzk ataleta madhara gani kwa kuondoka kwake? siri gani zaidi ya ilani?

Mimi pamoja na familia yangu pamoja na marafiki wangu watano tumechoma kadi za uachama wa chadema pamoja na nguo zao, chama gani cha ukabila na ukoo namna ile.
kutoka watu 12 ndani ya chadema ni pengo, huoni kwamba ni hasara?
 
Kwa vyovyote vile chadema wamepoteza kura nyingi sana maana watu wengi wanaojiunga ACT wanatoka chadema.
 
Ni mchubuko siyo jeraha, hakuna siri katika chama zaidi ya yale yaliyomo kwenye katiba ambayo kila mtu husoma, huwezi ukawazuia bendera fuata upepo kutoka ndani ya chama kwenda chama kingine wakifuata maslahi yao, kila siku tunatangaziwa watu wanarudisha kadi za CHADEMA lakini chama kinazidi kukua. Ilikuwa ni wakati muafaka kwa ZZK kufukuzwa ndani ya Chama kuondoka kwake ni siyo jeraha bali ni kamchubuko tuuu

Sasa kama hakuna siri, mbona tulikuwa tunaambiwa kuwa Zitto alikuwa akivujisha SIRI za chama upande wa pili na Usalama wa Taifa?
 
Chadema kama taasisi imepata jeraha kubwa. Jeraha hili linahitaji tiba madhubuti ili lisikigharimu chama. Maana viongozi waliopo ACT wanajua siri zote za chadema. Walikuwa wanashiriki vikao vya ndani kabisa vya chama. Ni sawa na kuachana na mke/mume. Hakuna wa kujivuna. Bali akili lazima itulie ili kuendelea na maisha mapya. Na usipo kaa vema utaishia kunywa pombe au kufanya ukahaba kwa kuchanganyikiwa.

Na ndiyo maana kwa mnaofuatilia kinachoendelea ukumbi wa Diamond Jubilee. Kuna mwanadada muigizaji alipotupa dogo linaloilenga chadema ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe. Nitanikuu "kumpiga chura teke ni kumpunguzia safari".

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywaa maji kisimani, CDM mbele kwa mbele, nyie endeleeni na mipasho!
 
Mbona wanasiasa wote walitoka CCM na hakuna siri zozote zile tulisikia wakisema kuhusu CCM
 
Hakuna jeraha wala mama yake jeraha. Msaliti aliyekuwa anatumika ndani ya chama kwa nia ya kukisambaratisha chama kamwe pale anapofukuzwa hawezi kuacha chama kikiwa na jeraha kubwa. Hii ilikuwa ni kansa ambayo ilikuwa inatambaa taratibu ndani ya chama na kupunguza kwa kiasi kikubwa mshikamano wa hali ya juu uliokuwepo chamani kwa kuiondoa kansa hii sasa chama kitarudia katika afya yake badala ya kuendelea kupoteza muda chungu nzima kuijadili kansa iliyokuwa inatishia uhai wa CHADEMA.

😛eace:😛eace:😛eace:

Alutta continua! continua!





Chadema kama taasisi imepata jeraha kubwa. Jeraha hili linahitaji tiba madhubuti ili lisikigharimu chama. Maana viongozi waliopo ACT wanajua siri zote za chadema. Walikuwa wanashiriki vikao vya ndani kabisa vya chama. Ni sawa na kuachana na mke/mume. Hakuna wa kujivuna. Bali akili lazima itulie ili kuendelea na maisha mapya. Na usipo kaa vema utaishia kunywa pombe au kufanya ukahaba kwa kuchanganyikiwa.

Na ndiyo maana kwa mnaofuatilia kinachoendelea ukumbi wa Diamond Jubilee. Kuna mwanadada muigizaji alipotupa dogo linaloilenga chadema ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe. Nitanikuu "kumpiga chura teke ni kumpunguzia safari".
 
Jitahidi kutafakari kabla ya kuandika, hao unaowaona leo huko ACT waliishatupwa kando na CHADEMA kabla chama hakijafanya uchaguzi mkuu na ni vema ukajiuliza kama wangekuwa na madhara kwenye chama matokeo ya uchaguzi serikali za mitaa kwa CHADEMA yangekuwa kama yalivyo? Zitto kafukuzwa kukiwa bado maeneo mengine yanafanya chaguzi za marudio serikali za mitaa vipi kuhusu matokeo yake.
Ni vema ukatambua kuwa kwa sasa ACT inashabikiwa kiasi kikubwa na wanaCCM kama ilivyokuwa kwa ADC kwani kwa upande wa CHADEMA wafuasi, wapenzi na wanachama wote wanakipenda chama na sio mtu au watu na ndio maana hawateteleki na chama kitabaki kuwa imara daima.

mkuu,nilikuwa shamba wilaya moja ya mkoa wa Pwani ambako huko ni CUF na CCM,lakini kitu nilichokiona kwa siku 2 nilizokuwepo huko,wana CCM na CUF wengi sana wanasema wangependa kujiunga na chama hiki kipya (ACT) kama kitakuwa tofauti na vyama walivyokuwepo,yaani CCM na CUF.
Mimi kwa mtazamo wangu naona hiki chama kama kitajipanga kweli na kujitanabaisha bayana kuhusu sera,itikadi,katiba na mambo yanayohusu mustakabari mzima wa mwananchi wa kawaida,basi kitavuna maelfu ya wafuasi,hasa hasa wafuasi wa CCM.
 
Chadema kama taasisi imepata jeraha kubwa. Jeraha hili linahitaji tiba madhubuti ili lisikigharimu chama. Maana viongozi waliopo ACT wanajua siri zote za chadema. Walikuwa wanashiriki vikao vya ndani kabisa vya chama. Ni sawa na kuachana na mke/mume. Hakuna wa kujivuna. Bali akili lazima itulie ili kuendelea na maisha mapya. Na usipo kaa vema utaishia kunywa pombe au kufanya ukahaba kwa kuchanganyikiwa.

Na ndiyo maana kwa mnaofuatilia kinachoendelea ukumbi wa Diamond Jubilee. Kuna mwanadada muigizaji alipotupa dogo linaloilenga chadema ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe. Nitanikuu "kumpiga chura teke ni kumpunguzia safari".

MKUU.

Ni kweli usemayo kwamba chadema tumepata jeraha; lakini kuna ubaya gani kuuguza jeraha lililotokana na kutumbua jipu? Wala usipate hofu kwa kuwa eti, Palipoingia kovu haparudi kuwa sawa;kumbuka, Heri pengo kuliko jino bovu na Pengo la jino mmoja halizuwii kinywa kutafuna
 
Hakuna jeraha hapo,hapo kuna mchubuko tu ndugu.
tambua kwamba kila kukicha mbinu zinaibuliwa,alafu kitu kingine ni kwamba zzk aliacha kushiriki mambo ya chama karibia miaka miwili,so from there mambo mengi mema ya kukijenga chama yamefanyika.
let him go,we can do better without him.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mkuu,nilikuwa shamba wilaya moja ya mkoa wa Pwani ambako huko ni CUF na CCM,lakini kitu nilichokiona kwa siku 2 nilizokuwepo huko,wana CCM na CUF wengi sana wanasema wangependa kujiunga na chama hiki kipya (ACT) kama kitakuwa tofauti na vyama walivyokuwepo,yaani CCM na CUF.
Mimi kwa mtazamo wangu naona hiki chama kama kitajipanga kweli na kujitanabaisha bayana kuhusu sera,itikadi,katiba na mambo yanayohusu mustakabari mzima wa mwananchi wa kawaida,basi kitavuna maelfu ya wafuasi,hasa hasa wafuasi wa CCM.

Mkuu naungana na wewe,watu wanachukulia ki utaniutani lakini practicaly chadema itaathirika sana,tuchukulie mfano kigoma ambapo wananchi wana hasira sana na chadema baada ya watu wao(Zito na kafulila)kufukuzwa ni kura ngapi zitapotea hasa ukizingatia kwa sasa upinzani unataka kuchukua dola kwa namna yoyote ile ku ignore kura za kigoma kwa mfano ni kosa kubwa sana kwa Ukawa,somthing urgent need to be done.Nafikiri viongozi wa juu wanafaham hilo kazi kwao.
 
Ni muhimu kutazama CHADEMA na ACT kama taasisi na sio mtu mmojamoja ili kuweza kuja na neon linaloweza kuwakilisha yanayotokea ndani ya taasisi hizo sasa hivi. Kama ni pigo labda kwa mtu mmojammoja kama ZZK alivyo au Slaa au Mbowe. Taasisi zilizoundwa kwa misingi thabiti huwa haziyumbi pale individuals wanapobadili misimamo yao kama ZZK alivyofanya kwa CHADEMA.

Well said mkuu
 
Ahsante sana Mkuu

Hakuna jeraha hapo,hapo kuna mchubuko tu ndugu.
tambua kwamba kila kukicha mbinu zinaibuliwa,alafu kitu kingine ni kwamba zzk aliacha kushiriki mambo ya chama karibia miaka miwili,so from there mambo mengi mema ya kukijenga chama yamefanyika.
let him go,we can do better without him.
 
ACT fanyeni juhudi za kuichukua Kigoma YOTE. CDM maeneo yao yatatwaliwa na mgawanyiko huo. CDM ni chama cha Wachaga pekee. Ni chama cha Kikanda hasa Kaskazini. Maeneo kama Iringa Mjini na Mbeya ni kwa makosa waliyofanya CCM wakati huo. Nao wamejua walijikwaa wapi.

UKAWA sasa kwisha habari yao. Cake yao sasa imemegwa na kwenda ACT. Hiyo pekee itatengeneza njia kwa CCM kujihakikishia ushidi Oktoba na ACT kuambulia maeneo kadhaa. Nakitahilia ACT viti 15 vya Ubungo ifikapo Uchaguzi Mkuu.

Kama wanaakili nzuri,CDM wajipe miaka 5 mbeleni ya kujiandaa na kujipanga. Kwa sasa bado ni wachanga na nchi haitachukuliwa kirahisi kwa uroho wa Madaraka.

Wanawatumia Wafanyabiashara eti wakidhani ni mkakati kumbe ni kunyesa tu Mwenyekiti wao,MCHAGA,MWANA CDM,MINJA!

CDM watakula jeuri yao mwaka huu!
 
Si kweli kwamba CHADEMA wamepata jeraha bali wameonesha kupevuka kisiasa, na kama ACT imeanzishwa kwa ajili ya kupambana na CHADEMA na si kushiriki katika harakati za kuiondoa CCM madarakani basi hili ni pigo namba moja kwa ACT na demokrasia hapa nchini Tanzania.

Ukweli ni kwamba CHADEMA kiko imara sana na wote walioko ACT wanajua hivyo na si muda tutarajie mtifuano mkubwa kutokana na walioko huko wanao uchu mkubwa wa madaraka hivyo si vema kuanza tambo za mapema hali hatujafika hata nusu ya mlima.
 
Back
Top Bottom